Harmonize ausome upepo mama sio mwendazake hapendi sifa

Harmonize ausome upepo mama sio mwendazake hapendi sifa

Mdogo wangu Harmonize naona jana umeachia nyimbo ya kumsifu mama, ila sidhani kama umeshausoma upepo wa mama kwa sasa upoje, mdogo wangu mama sio kama mwendazake yaani hapendi kusifiwa sifiwa tena akijua ni zile sifa za kujipendekeza

Mdogo wangu jikite kwenye kazi zako tu isipoteze pesa kabisa kujipendekeza zama zimebadilika

Hakuna binadamu asiyependa sifa
 
Ila wazee tusisahau kusaini petisheni ya dimondi kutoshiriki BET 🤣🐒🤸
 
Hapa naona chuki na wivu vimewajaa
Aliyetoa nyimbo ya kusifa mama ni harmonize tu?

Zuchu nae vipi au jumba anaangushiwa harmo?

Wabongo kwa chuki na unafki tunaongoza
 
hayo ni mawazo yako.

Mungu mwenyewe aliye mkamilifu anapenda kusifiwa.
 
Huyu mmakonde muda mwingine mjinga sana ..na wasanii wengine wanaotoa nyimbo za kusifu tawala ni wajinga tu.

Eti unatunga wimbo kumsifu Rais
 
Huyu mmakonde muda mwingine mjinga sana ..

Eti unatunga wimbo kumsifu Rais
Watu wengi inaonekana CCM hawajaijua vizuri.

Kati ya mambo ambayo unaweza kudhani ni ya kipumbavu na hakuna mwenye akili timamu anaweza kufanya, wao ndio wanafanya.

Hizo nyimbo wala usishangae kuja kusikia wao CCM ndio wamemlipa atunge.

Rayvanny kashaimba inaitwa Kazi Iendelee,

Zuchu kashaimba, Kazi iendelee

Nandy kaimba,

Leo kwenye hilo takataka wanalosema ni mkutano wa Rais na vijana, walikuwepo Rayvanny na Zuchu kutumbuiza.

Hapo ni wewe tu na akili yako timamu.
 
Mdogo wangu Harmonize naona jana umeachia nyimbo ya kumsifu mama, ila sidhani kama umeshausoma upepo wa mama kwa sasa upoje, mdogo wangu mama sio kama mwendazake yaani hapendi kusifiwa sifiwa tena akijua ni zile sifa za kujipendekeza

Mdogo wangu jikite kwenye kazi zako tu isipoteze pesa kabisa kujipendekeza zama zimebadilika
Dogo boya
 
Mdogo wangu Harmonize naona jana umeachia nyimbo ya kumsifu mama, ila sidhani kama umeshausoma upepo wa mama kwa sasa upoje, mdogo wangu mama sio kama mwendazake yaani hapendi kusifiwa sifiwa tena akijua ni zile sifa za kujipendekeza

Mdogo wangu jikite kwenye kazi zako tu isipoteze pesa kabisa kujipendekeza zama zimebadilika
Elewa kitu kimoja tu ya kwamba
'hakuna mtawala asependa sifa'

Ukiwa makini kwa kujua hili utaishi poa.
 
Back
Top Bottom