Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23]View attachment 1817584
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23]View attachment 1817584
Aisee[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23]View attachment 1817584
Mmmh haezi itwa bora ata isha mashauzi na hadija kopa wanaeza endana na mama kwa huku bara.....mama anapenda burudani ya utamaduni uleeeeHapo ameambiana na meneja wake kuwa mama atamuita kufanya show kwenye ziara zake 🤣🤣🤣
Tena ana wivu balaah ataki wasifiwe na kuabudiwa miungu wengineHata Mungu wa mbinguni anapenda kusifiwa.
Mdogo wangu Harmonize naona jana umeachia nyimbo ya kumsifu mama, ila sidhani kama umeshausoma upepo wa mama kwa sasa upoje, mdogo wangu mama sio kama mwendazake yaani hapendi kusifiwa sifiwa tena akijua ni zile sifa za kujipendekeza
Mdogo wangu jikite kwenye kazi zako tu isipoteze pesa kabisa kujipendekeza zama zimebadilika
Wanaharakati wanasemaje kwenye hili?[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23]View attachment 1817584
Vip Lema anasemaje kwenye hili?Hapa naona chuki na wivu vimewajaa
Aliyetoa nyimbo ya kusifa mama ni harmonize tu?
Zuchu nae vipi au jumba anaangushiwa harmo?
Wabongo kwa chuki na unafki tunaongoza
Watu wengi inaonekana CCM hawajaijua vizuri.Huyu mmakonde muda mwingine mjinga sana ..
Eti unatunga wimbo kumsifu Rais
Dogo boyaMdogo wangu Harmonize naona jana umeachia nyimbo ya kumsifu mama, ila sidhani kama umeshausoma upepo wa mama kwa sasa upoje, mdogo wangu mama sio kama mwendazake yaani hapendi kusifiwa sifiwa tena akijua ni zile sifa za kujipendekeza
Mdogo wangu jikite kwenye kazi zako tu isipoteze pesa kabisa kujipendekeza zama zimebadilika
Acha chuki waha wanajielewa sanaKasulu kibondo kigoma Tanzania,weee mama wachaaaaa-Indegeeeee
Elewa kitu kimoja tu ya kwambaMdogo wangu Harmonize naona jana umeachia nyimbo ya kumsifu mama, ila sidhani kama umeshausoma upepo wa mama kwa sasa upoje, mdogo wangu mama sio kama mwendazake yaani hapendi kusifiwa sifiwa tena akijua ni zile sifa za kujipendekeza
Mdogo wangu jikite kwenye kazi zako tu isipoteze pesa kabisa kujipendekeza zama zimebadilika