Hahaha, acha masihara mkuu.
Povu namba moja.Sara akiondoka
Chukua nafasi yake
Kwani umeshindwa kutoa maoni bila matusi yakhee? Hii inaashiria malezi yako hayakuwa mema. Au umelelewa katika familia ambayo matusi kati ya baba na mama yalikuwa ni kitu cha kawaida. Pole sana ndugu kwa kuumizwa na mada yangu iliyopelekea wewe kutoa matusi.Yaani wewe mpuuzi kabisa. Sara ndio mshauri mkuu wa kazi za harmo. Hata it video alikuwepo wakati wa kuihariri. Usituletee wivu wa kitopolo
huyo Harmorapa si alikuwa kaolewa kenya au?Hivi pacha wake Harmorapa amekufilia wapi siku hizi?
Maana wakikutana pamoja Harmonize na Harmorapa hua wanajiita Harmodarby
Sema ule mzigo nao sio wa spoti spoti!Amepata mke wa kizungu ambaye yuko siriazi na penzi na ambaye anamsapoti sana kwenye kazi zake za muziki, ikiwemo suala zima la kifedha. Kijana anaamua kumuumiza mkewe kwa kurekodi wimbo wa bedroom ambao si vibaya, lakini video ile kwa mke lazima iumize sana roho yake. Na kwa kuwa kumekuwa na tetesi za kutoka na mcheza show mwenyewe (video xizen) basi inazidisha machungu sana ukichanganya na aina ya picha.
Nimshauri tu dogo asikubali kumpoteza Mzungu wake kwa ajili ya bongo stars ambao watamkimbia pindi mkwanja ukipiga chenga.
Karibuni kwa maoni.
Povu ruksa.