Harmonize hajafanya ubaya

Hata mavoco mlimwambia hivyo hivyo kwamba yeye ni mkali,akatoka[emoji16][emoji16]

Wabongo wanafki,watakushauri jambo kisha mambo Yakidoda watakukimbia..endeleeni kumjaza maneno harmoniz tu
 
We jamaa una akili sn, sema tu umezaliwa Tz
 
Hamo ukifuata ushauri wa mleta mada go 2 hell
 
Umeongea vizur sana ila umekosea tu ulivyosema amepitia kupitia kwa alikiba hicho ni kichekesho kwelkwel members wa jamiiforum watakucheka alafu pia kwa Bob junior alikuwa anatoa hell ili afanye ngoma na kumbuka pia ngoma kali alizokuwa ana to diamond kwenye studio ya Bob junior ndio iliyofanya ile studio iwe kubwa Sana ndomaana alivyoonda tu diamond ile studio ilipungua kwa umaarufu je Sasa hiv ikowapi?
 
wewe haujui mzika ndiyo maana unaleta ujinga wako hapa barnaba mziki wa kusomea umlinganishe na harmonize pure talent itakuwa tezi dume inakuwasha barnaba level yake ni kina Bestnaso
 
Oyaa! Mkuu jaribu kuandika vizuri tafadhali...hueleweki kabisa wew tuntufye
 
Naona Team Kibandaumiza Mnatafuta Pakumulia, Inasikitisha Kumlazimisha M2 K2 Ambacho Hajawaza
 

Mzee shule ulijifunza kuandika insha kweli?

Kiswahili gani hiki na mpangilio gani huu wa insha?

Duuh
 
Watu wanashangaza sana, harmonize kutoka wcb sio jambo baya, ni jambo jema sana, aende afungue brand yake akue sio akae anategemea share tu kutoka kwa mtu mwingine, anatakiwa a-own brand yake 100% alete competition sio nchi nzima kua monopolized na wcb peke yake.

Ambaye anapinga kitendo cha harmonize bila shaka ni masikini au anatemgemea mshahara tu kila mwisho wa mwezi, in short wasio na akili ya kukaa wanafikiria cha kufanya ili wazidi kupanda zaidi. Wapo waliomsema platnumz enzi hizo yupo chini ya kiba, leo hii huwezi hata walinganisha, jamaa ametambaa akaanza kutembea sasa hivi anapaa kiba yuko palepale. Harmonize inabidi ale vichwa, ikiwezekana aje na brand kubwa zaidi ya wcb.
 
Harmonize hajawai kurudisha uwekezaji uliowekwa na Diamond na anamlipa dharau.
Jembe ni jembe ni mnafiki sana anamdanganya huyu dogo soon dogo atapwaya akaungane na akina juma nature na ispekta haron na wakina mheshimiwa temba hawa wakina saidi fella na babu tale ni wachawi balaaa watampoteza soon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…