King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Uamuzi Mzuri hatuhitaji Makurunzinza kwenye Label.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa una akili sn, sema tu umezaliwa TzKwa nini kuondoka Harmonize mnachukulia kama vita.Mimi mwenyewe nafurahi Harmo kujitegemea mwenyewe ,tatizo je amejipanga kwa fitina ?Usimwone Mondi ana shine jua nyuma ana watu wanampigania je yy anao?Kama anao ni kitu kizuri kama hana yy ndiye atakaye umia.Msimwone Belle 9 yupo kimya mkazani hana uwezo bali hana watu wakuupigania mziki wake.
Kuwa chini ya label ni kitu kizuri sana ,haswa kwa wenzetu US,Drake yule pamoja na kuwa na utajiri mkubwa,label yake ya OVO lakini bado yupo chini ya YCMB,we unazani kwa nini Drake hajaondoka YCMB label ya Lil Wyne na Birdman?
Kanye west ana label ya Good Life,ana brand ya Yeezy ambayo thamani yake ni zaidi ya USD 1 bilion,lakini pamoja na utajiri wake bado yupo chini ya Roc Nation ya Jay Z,hujajiuliza kwa nini Kanye bado yupo chini ya Roc nation?
Rihanna sasa hivi networth yake USD 600m baada kama ya miaka mitatu au miwili atakuwa na USD 1bil ,lakini bado yupo chini ya Roc Nation ya Jay Z,wewe unazani kwanini Rihanna,Drake,Kanye West na hata Nick Minaj pamoja na utajiri wao lkn bado wapo chini ya label?
Label zina umuhimu wake sana sababu katika Industry hizi za Music kuna FITINA na KUBANIANA ,kwani kuna watu wakali lkn hawana watu wa kupush mziki wao.
Miaka ya nyuma kulikuwa na mwanamziki wa RnB Bob Valentino alivuma sana alipokuwa chini ya DTP Ludacris,baadaye akaondoka akamwambia Luda anataka kujitegemea,baada ya hapo Bob V akapotea mazima.
Vile vile kulikuwa na Rapper Chingy nae alikuwa DTP akazinguana na Luda,akwambia yeye anaondoka anataka kujitegemea Ludacris kamruhusu nae akapotea mazima
na nasikia hata Runtown wa Nigeria kapotea baada ya kuondoka kwenye Label.![]()
MTV | Homepage - Shows & Schedules
MTV brings viewers the best in lifestyle and competition reality shows, plus live events featuring the biggest names in entertainment.www.mtv.com
Kuanzisha label au kujitegemea sio swala baya kwani hata yy anaweza wafungulia mlango wengine,lkn je amejipanga,mziki huu mgumu kwani umejaa fitina ,unahitaji watuwanaojua industry ili upush kazi zako.
Na ndio maana pamoja na kuwa na mihela yao wakina Rihanna,Kanye,Drake na Nick Minaj bado wapo chini ya Label.
Na Mziki wa Tz sasa hivi una hali mbaya yaani washikadau wamewagawa mashabiki,siku hizi team za kwenye mziki wetu,hazina utofauti na ushabiki wa Simba na Yanga,ili upate support unatakiwa uwe ndani ya hizi team,ukiwa nje umekwisha mfano tu Baraka da prince na Mavoko tushaanza kuwasahau.
Umeongea vizur sana ila umekosea tu ulivyosema amepitia kupitia kwa alikiba hicho ni kichekesho kwelkwel members wa jamiiforum watakucheka alafu pia kwa Bob junior alikuwa anatoa hell ili afanye ngoma na kumbuka pia ngoma kali alizokuwa ana to diamond kwenye studio ya Bob junior ndio iliyofanya ile studio iwe kubwa Sana ndomaana alivyoonda tu diamond ile studio ilipungua kwa umaarufu je Sasa hiv ikowapi?ni kweli harmonize yuko vizuri sana
ila amekuzwa na kulelewa na WCB na Diamond, mkubwa ni mkubwa tu
Diamond naye kalelewa na kupata mpenyo kupitia Ali kiba na Bob junior
mnaendelea kutengeneza historia za watu kufarakana
He is better in WCB, maana nje ya jeshi yeye hajazoea....Harmonize hawezi hustle kama akin ASLAY, BARNABA n.k
wewe haujui mzika ndiyo maana unaleta ujinga wako hapa barnaba mziki wa kusomea umlinganishe na harmonize pure talent itakuwa tezi dume inakuwasha barnaba level yake ni kina BestnasoWewe unamjua Barnaba unamsikia, kasilikilize washa ya barnaba alafu ipe opportunity zote kama ilivyopewa kwangwaruu alaf urudi hapa, istoshe barnaba anaimba live na saut yake ni ileile kama unavoisikia kwenye audio ndo anavyoimba live, kitu ambacho harmonize hawez....harmonize aendelee kubaki WCB
Jama keshakuwa ameamuwa kukaaa kivyake ukiangalia kwa umakini yule sallam alikuwa anamleteya zarau sana ..harmo ata akitoka dogo yule anajituma sana na Ana sapoti kubwa sana inje na ndani ya inchi mana yeye sio muimbaji wa nyegezi ao vumbi ...ndo msani peke wa bongo anaye imbaga vya kueleweka tena vya mana jama kasimama imara ..haitaji wcb fan kwa kutoboa mana huko south Sudan kajaza na Kenya huwa anajaza so riziki agawa Mungu sio hivyo vi team uchwara vinavyo ongeya nonsense ... Harmonize atabaki kuwa Harmonize ... Dogo wametaka kumziwiya kutoa ngoma ..matatizo yote yalitokeya wakati wa ngoma za EP aliyo mshirikisha burnaboy inama na niteke ..wcb wamezichelewesha sana hadi ikawa ugomvi mana walikuwa hawataki mpinzani wa tetema na nyegezi ... Kiukweli Domo keshapata sana tu ila jama Ana tama sana ... Hadi goma lake lichache ndo aachiye wengine watowe ... harmonize ni level nyengine sio kama Kina rayvan na mbosso ...Jama yuko makini sana na ata washangaza sana .. ipo siku tutamuelewa ...Go go jeshi KondeBoy
Kama hawaijui WCB aliendaje? Uwe unakuwa mtu mzima basi mara moja mojaHuko south Sudan hawaijuw wcb na amejaza kuliko mtuu yeyote Bongo ata wasafi festival haijawahi pata ... Yeye huwa haimbi nyegezi ao vumbi atatoboa tu
Bob junior alifanya uwekezaji gani kwa diamond unadhani zile kazi alikuwa akimfanyia bure?Diamond hajawai kurudisha uwekezaji uliowekwa na Bob junior na anamlipa dharau
Mzee una andika kama wale madem wenye page za udaku za instagramSiyo lazma uelew kila kitu .kaushiya
Hahahahahah.Kule kwenye siasa naona nakupa kinyaa tu.Toka uzaliwe leo ndiyo umeongea points.
Unazingua kweli mtu wangu ila ndiyo siasa ilivyo rafiki [emoji23]Hahahahahah.Kule kwenye siasa naona nakupa kinyaa tu.
Jembe ni jembe ni mnafiki sana anamdanganya huyu dogo soon dogo atapwaya akaungane na akina juma nature na ispekta haron na wakina mheshimiwa temba hawa wakina saidi fella na babu tale ni wachawi balaaa watampoteza soonHarmonize hajawai kurudisha uwekezaji uliowekwa na Diamond na anamlipa dharau.