Harmonize hajafanya ubaya

Harmonize hajafanya ubaya

bestmale

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2015
Posts
3,067
Reaction score
1,805
Jama keshakuwa ameamuwa kukaaa kivyake ukiangalia kwa umakini yule sallam alikuwa anamleteya zarau sana ..harmo ata akitoka dogo yule anajituma sana na Ana sapoti kubwa sana inje na ndani ya inchi mana yeye sio muimbaji wa nyegezi ao vumbi ...ndo msani peke wa bongo anaye imbaga vya kueleweka tena vya mana jama kasimama imara ..haitaji wcb fan kwa kutoboa mana huko south Sudan kajaza na Kenya huwa anajaza so riziki agawa Mungu sio hivyo vi team uchwara vinavyo ongeya nonsense ... Harmonize atabaki kuwa Harmonize ... Dogo wametaka kumziwiya kutoa ngoma ..matatizo yote yalitokeya wakati wa ngoma za EP aliyo mshirikisha burnaboy inama na niteke ..wcb wamezichelewesha sana hadi ikawa ugomvi mana walikuwa hawataki mpinzani wa tetema na nyegezi ... Kiukweli Domo keshapata sana tu ila jama Ana tama sana ... Hadi goma lake lichache ndo aachiye wengine watowe ... harmonize ni level nyengine sio kama Kina rayvan na mbosso ...Jama yuko makini sana na ata washangaza sana .. ipo siku tutamuelewa ...Go go jeshi KondeBoy
 
Siku akitoka WCB huyo harmonize atasahaulika.

Mjazeni kichwa Kama mlivyofanya kwa mavoko.Mziki ni zaidi ya kuwa na uwezo wa kufanya mziki mzuri, maana hata huyo Harmonize hawezi gusa Moto wa watu Kama Ben pol na Belle 9. japo Kibiashara anawakimbiza.
 
Jama keshakuwa ameamuwa kukaaa kivyake ukiangalia kwa umakini yule sallam alikuwa anamleteya zarau sana ..harmo ata akitoka dogo yule anajituma sana na Ana sapoti kubwa sana inje na ndani ya inchi mana yeye sio muimbaji wa nyegezi ao vumbi ...ndo msani peke wa bongo anaye imbaga vya kueleweka tena vya mana jama kasimama imara ..haitaji wcb fan kwa kutoboa mana huko south Sudan kajaza na Kenya huwa anajaza so riziki agawa Mungu sio hivyo vi team uchwara vinavyo ongeya nonsense ... Harmonize atabaki kuwa Harmonize ... Dogo wametaka kumziwiya kutoa ngoma ..matatizo yote yalitokeya wakati wa ngoma za EP aliyo mshirikisha burnaboy inama na niteke ..wcb wamezichelewesha sana hadi ikawa ugomvi mana walikuwa hawataki mpinzani wa tetema na nyegezi ... Kiukweli Domo keshapata sana tu ila jama Ana tama sana ... Hadi goma lake lichache ndo aachiye wengine watowe ... harmonize ni level nyengine sio kama Kina rayvan na mbosso ...Jama yuko makini sana na ata washangaza sana .. ipo siku tutamuelewa ...Go go jeshi KondeBoy
Duh!!
 
Siku akitoka WCB huyo harmonize atasahaulika.

Mjazeni kichwa Kama mlivyofanya kwa mavoko.Mziki ni zaidi ya kuwa na uwezo wa kufanya mziki mzuri, maana hata huyo Harmonize hawezi gusa Moto wa watu Kama Been pol na Belle 9. japo Kibiashara anawakimbiza.
Huko south Sudan hawaijuw wcb na amejaza kuliko mtuu yeyote Bongo ata wasafi festival haijawahi pata ... Yeye huwa haimbi nyegezi ao vumbi atatoboa tu
 
Huko south Sudan hawaijuw wcb na amejaza kuliko mtuu yeyote Bongo ata wasafi festival haijawahi pata ... Yeye huwa haimbi nyegezi ao vumbi atatoboa tu
Endeleeni kumjaza ujinga muone atakavyokuja kusanda huyo mmakonde wa Tandahimba.
 
Naona mna zidi kumwagia petrol kwenye moto
 
Unavyozidi kuandika pumba Kama hizi ndo unazidi kumuaribia mshikaji huyo harmo mwezi tu afiki teyali tutaanza kufungua Uzi kuandika harmo anakwama wapi? Na baadae tutasikia ameeingia kwenye madawa yakulevya mziki wa Tanzania ni mgumu kwelkwel kutusua kwasababu hautegemei pekee kipaji kutusua ndomaana watu Kama bestnaso,benpol, barnaba,Ruby pamoja na kuwa na vipaji vikubwa haziakisi maendeleo yao ya mziki na usitoshe harmo kawa mkubwa cos ya back up alipewa na wcb na sapoti kubwa ya mashabiki wa diamond akiondoka hiv vyote hatakosa usisahau pia mziki wa bongo unafitina nyingi inaitaji uwe na watu wanaojua haya Mambo watu Kama sallam na babutale wanauzoefu nayo ndomaana watu wengi wanamsikitikia huyo dogo
 
Atoke apotee.... mi show yake siwezi kwenda kama hana wasanii wengine hasahasa wa WCB.
 
Jama keshakuwa ameamuwa kukaaa kivyake ukiangalia kwa umakini yule sallam alikuwa anamleteya zarau sana ..harmo ata akitoka dogo yule anajituma sana na Ana sapoti kubwa sana inje na ndani ya inchi mana yeye sio muimbaji wa nyegezi ao vumbi ...ndo msani peke wa bongo anaye imbaga vya kueleweka tena vya mana jama kasimama imara ..haitaji wcb fan kwa kutoboa mana huko south Sudan kajaza na Kenya huwa anajaza so riziki agawa Mungu sio hivyo vi team uchwara vinavyo ongeya nonsense ... Harmonize atabaki kuwa Harmonize ... Dogo wametaka kumziwiya kutoa ngoma ..matatizo yote yalitokeya wakati wa ngoma za EP aliyo mshirikisha burnaboy inama na niteke ..wcb wamezichelewesha sana hadi ikawa ugomvi mana walikuwa hawataki mpinzani wa tetema na nyegezi ... Kiukweli Domo keshapata sana tu ila jama Ana tama sana ... Hadi goma lake lichache ndo aachiye wengine watowe ... harmonize ni level nyengine sio kama Kina rayvan na mbosso ...Jama yuko makini sana na ata washangaza sana .. ipo siku tutamuelewa ...Go go jeshi KondeBoy

ni kweli harmonize yuko vizuri sana

ila amekuzwa na kulelewa na WCB na Diamond, mkubwa ni mkubwa tu

Diamond naye kalelewa na kupata mpenyo kupitia Ali kiba na Bob junior

mnaendelea kutengeneza historia za watu kufarakana


He is better in WCB, maana nje ya jeshi yeye hajazoea....Harmonize hawezi hustle kama akin ASLAY, BARNABA n.k
 
Hivi shule mnaenda kusomea ujinga na kushika nyimbo .

Mbona unaandika vibaya hivyo utafikiri mtoto mdogo.

Inchi hii [emoji1]
Dah sipati taswira ya jamaa anao chat nao kila siku.. tabu kwelikweli!!!!
 
Harmonize hawezi tetereka bwana. Harmonize ndo the best kuliko hata Domo kwa sasa. Wangekuwa hawatowi nyimbo kwa kupangiwa yaani Harmo angeshampoteza kabisa Domo.
Diva tatizo huolewi unamdomo sana
 
Back
Top Bottom