Harmonize: Hereni ni hobby

masai dada

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
16,207
Reaction score
14,343


Tena zote mbili zimeninginia anakwambia asipovaa anajisikia vbaya
Ni list kubwa wasani wanavaa heren,tena mbili na kuninginia
Ila huyu kijana kanishangaza
Eti hobi



Akihojiwa EATV katika kipindi cha Friday Night Live (FNL) msanii huyo akapata sapoti ya Dj Ommy Crayz nae anadai kuna siku alisahau kuvaa hereni akageuza gari kurudi kuvaa.
 
Tena zote mbili zimeninginia anakwambia asipovaa anajisikia vbaya
Ni list kubwa wasani wanavaa heren,tena mbili na kuninginia
Ila huyu kijana kanishangaza
Eti hobi
Tukisema walete mafuta mnauliza yann, asa mambo gan hii
 
Hahaha
Kama wameacha basi hatuna chetu. Maana ilikua ndo tamaduni pekee iliyosalia afrika
wanavaa kwa uchache haswa wakiwa wazee
Sana sana bangli na shanga nyingne
Hapa ni kutokana na maisha ya sasa kama kwenda shule so watoto hawawez kwenda na heren shule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…