Harmonize: Hereni ni hobby

Harmonize: Hereni ni hobby

Tena zote mbili zimeninginia anakwambia asipovaa anajisikia vbaya
Ni list kubwa wasani wanavaa heren,tena mbili na kuninginia
Ila huyu kijana kanishangaza
Eti hobi
Akihojiwa eatv fnl
Akapata sapoti ya dj ommy crayz nae anadai kuna siku alisahau kuvaa hereni akageuza gari kurudi kuvaa


Avae na zile cheni za miguuni na kiunoni amalize kazi.

Alafu azidi kulamba lamba midomo yake kama yule ndomo
 
mambo ya kuiga kilakitu. je huko kijijini kwao alikuwa anavaa?.kwa mwendo huo mda simrefu ataanza kujichubua alafu atakuja kusema anakunywa maji mengi
 
Ni mambo ya umaarufu natamani nione picha za Hio hobi kabla hajawahi harmo
 
Kuna kawimbo kashirikishwa Diamond kanapigwa sana sasahivi nimeshindwa kukajua embu wale wenye kujua huo wimbo wanitajie maana nimeusaka sana jina silijui
 
Kuna kawimbo kashirikishwa Diamond kanapigwa sana sasahivi nimeshindwa kukajua embu wale wenye kujua huo wimbo wanitajie maana nimeusaka sana jina silijui
Wanaume wa Dar wanakaita #bado..sijajua wanaume wa Ntwara wana kaitaje?
 
mambo ya kuiga kilakitu. je huko kijijini kwao alikuwa anavaa?.kwa mwendo huo mda simrefu ataanza kujichubua alafu atakuja kusema anakunywa maji mengi
hapana sa hv atasingizia joto limeongezeka ndo maana kawa mweupeee[emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
huyo dogo hata darasa la saba hakumaliza. Si kosa lake.
 
Tena zote mbili zimeninginia anakwambia asipovaa anajisikia vbaya
Ni list kubwa wasani wanavaa heren,tena mbili na kuninginia
Ila huyu kijana kanishangaza
Eti hobi
Akihojiwa eatv fnl
Akapata sapoti ya dj ommy crayz nae anadai kuna siku alisahau kuvaa hereni akageuza gari kurudi kuvaa
Wabongo mpaka kufikia level ya south Africa kimaendeleo bado sana.. Hauwezi ukawa unafatilia mambo ya kijinga kama hayo.. Yaani mtu kusema kuwa kuvaa heleni ni hobby yake ndio imekuwa topic ?!.. Kwakweli wabongo hatutaendelea mpaka tubadili mentality zetu.. [emoji33] [emoji33]
 
Back
Top Bottom