Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww umenielewa mkuu hawa wengne wanaropoka tuMwandishi aja kataa kuhusu jina..ila the way unavyo tamka ata kama jina ni lile lile kuna tofauti Flani lazima iwepo. ..[emoji1787]tatizo kwa uyu bwana mdgo kasound mule mule kaivuta kama #platnumz
NOTE::::::Nilivyo elewa na nilivyo sikia mimi..
Mtoto wa shangazi mchele mtupuMtoto wa mama .. pumba tupu
Huyo dogo kavimba kichwa na nowdays anasafilia bado upepo wa WCB ebooooooh time will tellEeeh! Jeshi ( Umemuiga Diamond kwenye Kanyaga pale anaposema 'Zombiie') Daah! Nyimbo ulianza nayo vizuri ila umezingua nyimbo, unacheka cheka tu, hatukuelewi wala nini.
Acha miyeyusho ujue siku hizi umefanya hata Wamakonde tusiaminike mitaani. Aah!
#yesbishoohaswaaaa
Eeeeeeeh ila tatizo kaiga namna diamond alivyo Sema kwenye kanyaga maana ajasema kwa real voice yake OK ebooooooh................!Zombiii si ni S 2 Kizzy ambae ndo Ka'produce iyo Song mzee baba!!Mbona ata Whozu Anasemaga Zombiii kwenye ngoma zilizotengenezwa na S2 kizzy mfano Dokoa,Tunavesha nk.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nipo naskiza ngoma ya rayvany hapa mara ya 135 na hainichoshi. huyo mmakonde endeleeni kumskiza wenyewe.
Nipo naskiza ngoma ya rayvany hapa mara ya 135 na hainichoshi. huyo mmakonde endeleeni kumskiza wenyewe.
umeanza mambo yako man u wamefanya nini au unanitafuta.Rayvann naye kama Man u tu
wamakonde wana sign kama ya Yuda hawaaminiki kabisa siku hizi
umeanza mambo yako man u wamefanya nini au unanitafuta.
wanabadilika kila sekundeHao jamaa vigeu geu balaa, kaa nao mbali [emoji855]
mwambie mmeo atoe usio mbovuwimbo mbovu sana
chuchumaa sasa ukatikie ukuniNipo naskiza ngoma ya rayvany hapa mara ya 135 na hainichoshi. huyo mmakonde endeleeni kumskiza wenyewe.