Harmonize huku ni kulewa sifa sasa

Mwanaume kumuonea wivu mwanaume mwenzake ni jipu tushirikiane kulitumbua.... Harmonize ana management kama anakosea wao ndio wanawajibu kwakwe and nor yu sacker .. Piga kazi acha ukike
Umejuaje kama hatupigi kazi? Na umejuaje kama sie wote ni wanaume?simply huna akili hata 1
 
Yuuu sikujua kama ni boya hivo huwa simfatilii kwanza japo yupo kwa diamond ila Mziki wake mdogo sana.. Akatafute kick huko E-fm kwanza au akashindane na kina allikiba kwanza ndo level yake... Diamond kama vp kuwa na roho mbaya mtimue mapema mbona
Huyu hatadumu WCB atakuja kufanya Diamond watu wamchukie zaidi
 
Mkuu umeongea ukweli mtupu juzi ameongea eti Diamond hali chakula kilichopikwa na house girl wake...na bado ataongea mengi sana mther fk
Ona sasa Kaanza hadi kutoa siri za nyumbani asijue watu wanakuwaga makini sana kushika sentensi kama hizo mambo ya kifamilia hayo yeye atulie atakuja kusema Zari huwa anampiga Vibao Diamond asipo kuwa makini
 
Kwanza wewe ni babu bongo fleva na wewe wap na wapi... Kwenda katoe ushauri wako msondo ngoma
Unataka ujue jinsi nilivo na akili.. Tazama nimegundua kuwa unataka uruke mada tuanze arguments
Kwangu hilo halina nafasi dogo
Ishu ni kuwa harmonize anakosea na sababu Zipo wazi . kukumbusha hata wewe kila kazi zina taratibu zake. Usi reply tafadhal nataka uwe unaelewa haraka
 
Mwanaume kumuonea wivu mwanaume mwenzake ni jipu tushirikiane kulitumbua.... Harmonize ana management kama anakosea wao ndio wanawajibu kwakwe and nor yu sacker .. Piga kazi acha ukike
Siwezi kumuonea wivu mtu ambae kazi yake sikuwahi hata kuifikilia kama nitakuja ifanya hata kuota tuu sijawahi,ningekuwa msanii ndo ningemuonea wivu labda au ningekuwa nina hustle kutoka kimziki, yeye na mimi kazi zetu ni tofauti kabisa,labda kazini kwangu ndio nitawaonea wivu watu mle sababu nina endana nao

By the way katika mziki ujue kuna vitu vitatu kuna producer,kuna msanii mwenyewe na kuna mashabiki wote hawa wanategemeana mmoja akikosekana hiyo chain ina katika,so kama mshabiki kwa nafasi yangu naweza kutoa ushauri labda uniambie watoto wa kike ndo wanao ruhusiwa tuu kutoa ushauri nitakuelewa
 
"Dogo hajui kuvunga...!!!!!!"
 
Yuuu sikujua kama ni boya hivo huwa simfatilii kwanza japo yupo kwa diamond ila Mziki wake mdogo sana.. Akatafute kick huko E-fm kwanza au akashindane na kina allikiba kwanza ndo level yake... Diamond kama vp kuwa na roho mbaya mtimue mapema mbona
Kiba anakuwasha kweli punguza kumuwaza mtoa post hajagusa hata kidogo coz haimuhusu kiba ila bi mzur ww tayar punguza kumuwaza utamuachanisha babako na mamako maana siku utaulizwa babako nani utajibu ALI KIBA.
 

Very composed response, asipokuelewa kwa hili jibu basi tena hatakaa akuelewe.

Naomba niongezee hapo kwenye mashabiki, kwenye kundi hilo la Msanii, Producer na Mashabiki, kundi muhimu kupita makundi yote ni Mashabiki, msanii na producer wanafanya kila waliwezalo kuhakikisha kwamba mshabiki anafurahia kazi yao, ananunua kazi yao na hayo ndo matokeo chanya.

Mshabiki ana lundo la machaguo, akikuchoka anahamia kwa msanii mwingine, na akikupenda anakwambia rekebisha hiki na hiki niendelee kukushabikia.
 
Mkuu umeongea ukweli mtupu juzi ameongea eti Diamond hali chakula kilichopikwa na house girl wake...na bado ataongea mengi sana mther fk
Hahahaha hii kali aisee kawa na msemaji wa familia pia
 
Nitoe mimi mkuu,nimewahi kuuona huo wimbo mara moja kwa TV sikuelewa wameimba makorokocho gani hadi leo siujui hata neno moja.
Wimbo unaoongoza kwa kupigwa Tz according to 'CMEA East Africa' et umeusikia mara 1. Acha kutuchora tena usikute unaucheza kabisa.
 
dogo awache ushamba wake wa kimakua bana...asivujishe siri za kambi aise!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…