Sura za watu wa kusini zile zinapatikana sana mbagalaHuyu dogo harmonize ana undugu na wale madogo wa yamoto band? Maana wamefanana kichiz
hahahahaha hii kali sanaMkuu umeongea ukweli mtupu juzi ameongea eti Diamond hali chakula kilichopikwa na house girl wake...na bado ataongea mengi sana mther fk
haha..mkuu hata mimi style yake ya muziki siielewi iko kama mdumange wa wagosi wa kaya!Yule bwege hata sijui anaimbaga nini ila ndio hivyo tena watanzania tushakuwa kama manyumbu akionekana diamond tu kwenye wimbo basi huo wimbo watu watauaabudu mpaka basi!
Ndo kwanza ametoka mwaka jana.... ana muda wa kujifunza mengi so tusimuattack as if we are dealin with a big fish...
Hana hata mwaka tokea ametoka, tumvumilieni dogo
Apia....Nitoe mimi mkuu,nimewahi kuuona huo wimbo mara moja kwa TV sikuelewa wameimba makorokocho gani hadi leo siujui hata neno moja.
HaterMmnnnh me kwel sielewi yule jamaa anachoimba. Na atachokwa karibuni tuuuuuuu
I see you....katika ubora wako.Mmnnnh me kwel sielewi yule jamaa anachoimba. Na atachokwa karibuni tuuuuuuu
Saaana tuI see you....katika ubora wako.
Heheheheeee