Nimependa Jana Dullah kwenye planet bongo alivyogusia hili jipu na majibu ya uongozi wake...
Nadhani ni wakati harmonize anatakiwa kujitambua na kujirekebisha. Nimependa sana personality ya Raymond, harmo ajifunze kitu pale... Afu hata Diamond nae anakatatizo kidoogo kwenye kuongea, japo anabadilika taratibu anatakiwa awe mfano mzuri zaidi ya alivyo hivisasa maana kuna vitu visivyo na umuhimu sana kuviongelea kwenye media unakuta kaongea..
Nadhani ni wakati harmonize anatakiwa kujitambua na kujirekebisha. Nimependa sana personality ya Raymond, harmo ajifunze kitu pale... Afu hata Diamond nae anakatatizo kidoogo kwenye kuongea, japo anabadilika taratibu anatakiwa awe mfano mzuri zaidi ya alivyo hivisasa maana kuna vitu visivyo na umuhimu sana kuviongelea kwenye media unakuta kaongea..