Harmonize huna kipya cha kuwapa mashabiki, umeshakuwa mzigo jifunze kwa wenzio

Harmonize huna kipya cha kuwapa mashabiki, umeshakuwa mzigo jifunze kwa wenzio

Kufanana sauti sometime inatokea, sasa hivi ukimsikiliza Designer na Future, hawana utofauti wanafanana kila kitu na wote wanafanya vizuri. Vile ukimsikiliza Jidenna anavyoflow na Drake wanafanana lkn bado wote wanafanya vizuri kwa hiyo sioni kosa la harmonize Kufanana na diamond sometime inatokea kwa wenzetu kawaida, ila kwa wa bongo nongwa. Sasa sijui mnatakaje aache mziki kisa anafanana na diamond, alafu atakula wapi, sasa nyie pigeni kelele mwenzenu anaingiza ela, show kibao.
 
Hakuna mwenye shughuli rasmi kabisa aliye busy na kuhangaika kukuza biashara yake atakuwa yuko busy kutukanana na kuzusha propaganda za siasa humu - wengi humu ni walimu, wauza maduka, majobless na wafuasi wa vyama vya siasa wasiojielewa.
Sio poa ku'generalized' Mkuu, wengi wetu hatujuani humu. Tumia tu maneno ya busara.
 
Harmonize ana kipaji cha kumuigiza Diamond.

Ni mamba mjanja akiwa ndani ya maji tu.
 
Sio poa ku'generalized' Mkuu, wengi wetu hatujuani humu. Tumia tu maneno ya busara.
Hatujuani lakini huo ndio ukweli, huwezi kumkuta Edwin Bruno wa Smart Codes anabishana humu mambo ya CCM/BAWACHA
 
Hivi kumbe kwenye wimbo show me kuna sauti ya mond?
Itabidi niusikilize upya
 
Kufanana sauti sometime inatokea, sasa hivi ukimsikiliza Designer na Future, hawana utofauti wanafanana kila kitu na wote wanafanya vizuri. Vile ukimsikiliza Jidenna anavyoflow na Drake wanafanana lkn bado wote wanafanya vizuri kwa hiyo sioni kosa la harmonize Kufanana na diamond sometime inatokea kwa wenzetu kawaida, ila kwa wa bongo nongwa. Sasa sijui mnatakaje aache mziki kisa anafanana na diamond, alafu atakula wapi, sasa nyie pigeni kelele mwenzenu anaingiza ela, show kibao.
Mkuu hapo kwa jiddena na Drake naomba nirudishie change yangu.
 
We endelea kupiga kelele huku mwenzio anajenga kwenye kiwanja chake

Ameshanunua gali 2 moja kashampa mama yake, tena kamtoa mtwara kamuamishia dsm

Akifanya show watu anajaza sio kenya tu hadi burundi

Kama haiingzi pesa haileti maana , sio lazima umshabikie harmonize wasanii wapo kibao
gali - gari
 
Jamaa ana uwezo mkubwa ila kama humuelewi achana naye. Ukitaka kujua nguvu ya Harmonize muulize Dully Sykes - angekuwa hana impact tusingehangaika hata kumjadili hapa
Sasa dully tunampataje, mwaka hapa jinsi ilivyo
 
Daudi Mchambuzi hivi unamjua Jidenna ww, unajua ana hit ngapi, album ngapi eti, ila sikulaumu, jf humu ropo ropo wengi, tafuta nyimbo zake alizo rap, classic man na long live the chief, alafu utajua anasound sawa na Drake, si hizi tu kwani nyimbo nyingi alizorap zipo hivyo hivyo.
 
wajua kuna ule wimbo matatizo mimi niusikiliza muda mrefu nikijua ni diamond mpaka mtu kanambia sio diamond...
hii itamuua mapema
yani kama usipo ona video uwezi jua kama anayeimba ni Harmonize ,,,Harmonize hana identity yeyote ile kwenye muziki wake
 
Ingawa mimi ni team WCB ila sijawahi kumkubali harmonize, yaan naona anaforce mziki tena anavyomuiga chibu ndiyo anazidi kuniboa.
Ana kera sana... yani hadi leo nimeshindwa kuona jipya kwake...
 
Ndo maana kanabadili magari tu asa iv kamenunua audi
YouTube, Shows, Mikito, Ringtones, Mitandaoni ya Nje kama Itunes, Wasafi.com, Endorsements. Yaani mtu unaweza kukuta kila dakika anaingiza MILIONI 2
 
Back
Top Bottom