Harmonize huna kipya cha kuwapa mashabiki, umeshakuwa mzigo jifunze kwa wenzio

mi siona tatzo kwa hamo kuwa anafanya hivo ulivyozungumza na bado anatoboa vibaya ingekua anaendelea kudidimia katka game yan ngoma zake hazipgwi mtaa wala stations mbali mbali hapo ndipo ningeona hoja yako inamashiko
 
Kwa hiyo na jay z alianzisha lebo kuua vpaji au msanii mwenye lebo ni domo tu dunia nzima?
Kila mtu ana mikakati yake ya kufanikiwa kimaisha. Mwingine anataka kufanikiwa kwa kuzima au kupunguza washindani
 
Wewe ni nini ulichowahi kufanya cha maana zaidi ya kujipendekeza kwa Ma-CCM?

Huyo dogo unayemkandia hapa nadhani ana maendeleo makubwa kimaisha kuliko wewe.
 
"Control C" and "Control V" uimbaji wa dimondii...dogo abadilike
 
hiyo ni kawaida kumbuka Loon na Mase wakati wako chini ya bad boys walikuwa wakirap kama pdidy kabisa ,hata watangazaji wengi hutangaza sauti ya role model wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…