Harmonize, Huo ni Ushamba

Harmonize, Huo ni Ushamba

Kushoto kulia,hujanikomoa,Hainshtui now huo ni ushamba.............

Uzuri wenyewe siku hizi Chibu hajibu.Anaacha kupromote album yake anahaika kuponda manake alisema ana video zote 18,lkn sizani kama video alizotoa zinazidi 5 za hiyo album,kuna nyimbo mbili kali ya ft Morgan Heritage -Makaika na ft Skales-Rhumba,ila yy kakomaa na hizi nyimbo ambazo hazi msaidii kitu,zinashindwa kutrend hata Kenya.

Diamond anamfikiria sana mpaka anamtoa nje ya mstari,manake alisema tarehe 7 Nov angekuwa na Tamasha Uhuru Stadium kwa mda wa siku 3 mfululizo lkn kimya,katuhaidi kutulia Ubwabwa kila baada ya kipindi fulanikama Rungwe lkn nayo kaifanya mara Karume moja baadae kimya.
mkuu tamasha bado ni tare 17
 
Huu wimbo mpya wa harmonize kama jinsi alivyouita mimi nimeupenda kwa u comedy wake lakini siuiti wimbo kwangu ni kichekesho na wala si wimbo lakini zaidi kitendo chakumchukua kijana anaefanana na diamond na kumuweka kwenye video Huo ni ushamba mkubwa kwenye hii video.

Wasanii idea za video na nyimbo wanazotunga huwa wanawaza wapi ndugu zanguni? mbona kama wote wapo mule mule kwenye bahari 1 ya mawazo mtu ninaemuona anaogelea kimawazo bahari tofauti na wenzake ni diamond,ila hizi idea za namna hii kweli unasema ni msanii kaimba hiki kituko?

Hamonize huo ni ushamba narudia tena kumuweka diamond feki kwenye wimbo wako kumekurudisha hatua 100 nyuma,matokeo yake hutoyaona sasa hivi subiri mwenzako atoe kitu ndio utajua hasira za mashabiki zake.

moja ya nyimbo mbovu kuwahi tungwa na huyu mmakonde ni hii HUO NI USHAMBA.
siujui
 
Konde ni mshamba
Screenshot_20201109-205045.jpeg
 
Huu wimbo mpya wa harmonize kama jinsi alivyouita mimi nimeupenda kwa u comedy wake lakini siuiti wimbo kwangu ni kichekesho na wala si wimbo lakini zaidi kitendo chakumchukua kijana anaefanana na diamond na kumuweka kwenye video Huo ni ushamba mkubwa kwenye hii video.

Wasanii idea za video na nyimbo wanazotunga huwa wanawaza wapi ndugu zanguni? mbona kama wote wapo mule mule kwenye bahari 1 ya mawazo mtu ninaemuona anaogelea kimawazo bahari tofauti na wenzake ni diamond,ila hizi idea za namna hii kweli unasema ni msanii kaimba hiki kituko?

Hamonize huo ni ushamba narudia tena kumuweka diamond feki kwenye wimbo wako kumekurudisha hatua 100 nyuma,matokeo yake hutoyaona sasa hivi subiri mwenzako atoe kitu ndio utajua hasira za mashabiki zake.

moja ya nyimbo mbovu kuwahi tungwa na huyu mmakonde ni hii HUO NI USHAMBA.
Jinga sana hili jamaa,aliyoyaimba yote yanamlenga yeye.
Ila kuna Jambo nawaza isije kuwa yeye na diamond wanatufanyia kamchezo flani kujifanya wanaimbana kumbe ni kiki
 
Huu wimbo mpya wa harmonize kama jinsi alivyouita mimi nimeupenda kwa u comedy wake lakini siuiti wimbo kwangu ni kichekesho na wala si wimbo lakini zaidi kitendo chakumchukua kijana anaefanana na diamond na kumuweka kwenye video Huo ni ushamba mkubwa kwenye hii video.

Wasanii idea za video na nyimbo wanazotunga huwa wanawaza wapi ndugu zanguni? mbona kama wote wapo mule mule kwenye bahari 1 ya mawazo mtu ninaemuona anaogelea kimawazo bahari tofauti na wenzake ni diamond,ila hizi idea za namna hii kweli unasema ni msanii kaimba hiki kituko?

Hamonize huo ni ushamba narudia tena kumuweka diamond feki kwenye wimbo wako kumekurudisha hatua 100 nyuma,matokeo yake hutoyaona sasa hivi subiri mwenzako atoe kitu ndio utajua hasira za mashabiki zake.

moja ya nyimbo mbovu kuwahi tungwa na huyu mmakonde ni hii HUO NI USHAMBA.
Mbona inakuuma sana take it easy maisha mafupi
 
Back
Top Bottom