mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Inawezekana ameona nyimbo za kipumbavu ndio mashabiki mnazipenda kwa hyo akaona ajaribu hyo labda mtamuelewa.wewe kasikilize ile nyimbo anayoimba usenge niwe duka la vipodozi sjui toka hapa nikaona rayvan Hana tofauti na rafiki yake dudu baya
Hata Mimi swala la Ruby nimelizungumzia page ya nyuma bora hata wewe umeliona ataenda Lima korosho Na kupigania gesi uko umakondeni.Huijui music industry ya Tanzania wewe, kwahiyo kaa kimya! Na hapa hatuzungumzii nani anaingiza pesa na nani haingizi pesa! Narudia, huijui music industry ya Tanzania!!!
Eti kufeli kwa Mavoko! Huyo Harmonize amefikia level gani kulinganisha na level ambayo alifikia Juma Nature?! Je, baada ya Nature kutoka kwenye mikono ya wanaojua fitina za muziki wa Tanzania alifanya nini baadae?!
Huyo Harmonize amefikia level gani ukimlinganisha na Jide?! Je, unaweza kumlinganisha Jide aliyekuwa kwenye mikono ya wanaojua fitina za muziki wa Tanzana na Jide mwenyewe?!
Hivi kwa kipaji Harmonize unaweza kumlinganisha na Ruby?! Baada ya Ruby kutoka kwenye mikono inayojua fitina za music industry ya Tanzania alifanya nini?!
Hivi kama kweli unaujua muziki unaweza kumweka kapu moja na Aslay au Beka Flovor?! Nani kati yao ana-shine?!
Narudia, huijui tasnia ya muziki! Kwamba eti unaifahamu WBC in and out mimi hainihusu! Hata Asma Khan na mwenyewe anaijua WCB in and out! Sasa endeleeni kumjaza kama hajarudi kulima kulima ufuta Mtwara! JF hii hii naikumbuka ilivyokuwa inamjaza Ruby lakini kama kawaida, watu tukasema hapa acheni kumjaza Ruby! Kila mmoja sasa, pamoja na watu aina yako wanafahamu Ruby aliishia wapi!!!
Mwanza ni wimbo wa Rayvanny ft Diamond baada ya kufungiwa wakaimba tetema ambayo NI ya Rayvanny ft Diamond,utasemaje Rayvanny haimbi matusi?Mbona Rayvan ndio anaimba mistar ya kiutuuzima kuliko hao akina harmonize na domo nyimbo nzima utasikia kanyaga kanyaga,inama inama,tetema tetema,kiukwel hata sioni kinachoimbwa Mimi mwenzenu.
ukweli mchungu rayvan hawezi kutoa hitsong bila kushirikiana na diamond akitia ni uchafu kama ile ya duka la vipodozi
lakini harmonize anaweza kusimama MWENYEWE na kutoa hitsong
sijui unapiga bangi ya wapi?
Ngoja nikupuuze!uzamani umekujaa tunaongelea harmonize unaongelea uchafu juma nature.?
ila wewe ambae bado unaendelea kumshabikia kwa kumuonea huruma ndiyo mpumbavu.Inawezekana ameona nyimbo za kipumbavu ndio mashabiki mnazipenda kwa hyo akaona ajaribu hyo labda mtamuelewa.
Sasa Kama ameimba nyimbo ya kipumbavu halaf bado mnamgeuka basi washabiki hamueleweki mpo Kama sigara kali haieleweki nyuma wapi mbele wapi.
Simshabikii kwa kumuonea huruma ila kumbuka kosa moja haliachi mke.ila wewe ambae bado unaendelea kumshabikia kwa kumuonea huruma ndiyo mpumbavu.
note:shabiki hasaini mkataba.
kasikilize paranawe Harmonize ft rayvan uone utumbo wa uyo jamaa ako.Simshabikii kwa kumuonea huruma ila kumbuka kosa moja haliachi mke.
Ila nyinyi mnaowashabikia wasanii kwa sababu ya majina lkn uimbaji wao ni wa kipumbavu mwanzo mwisho basi nyinyi ni wapumbavu wa viwango vya Stieglers gorge au upumbavu wenu ukipungua sana Basi ni wa viwango vya SGR au Bombadier.
kiuandishi harmonize is much better than rayvan
wewe kasikilize ile nyimbo anayoimba usenge niwe duka la vipodozi sjui toka hapa nikaona rayvan Hana tofauti na rafiki yake dudu baya
Inashangaza sana nataka kujua uhusika was diamond kwenye hizi hit songs pochinene,kwetu,makulusa.hiyo VUMBI ft diamond ameimba utumbo mtupuukweli mchungu rayvan hawezi kutoa hitsong bila kushirikiana na diamond akitia ni uchafu kama ile ya duka la vipodozi
lakini harmonize anaweza kusimama MWENYEWE na kutoa hitsong
Rick Ross sijasikiloza nyimbo zake kipindi kirefu ila ninazo kadhaa mmoja unaitwa Stay Scheming beat nzito dunia nzima rick ross yumo ndani jingine Aston Martin Music
vumbi ni NYIMBO ya kusema ni hit?Inashangaza sana nataka kujua uhusika was diamond kwenye hizi hit songs pochinene,kwetu,makulusa.hiyo VUMBI ft diamond ameimba utumbo mtupu
πππ it's so shame uliwezaje kusema rayvanny bila mond hawezi ,ukitaka kujua makulusa in hit song kwa rayvanny fuatilia .hiyo vumbi sijai list mimivumbi ni NYIMBO ya kusema ni hit?
makurusa ni uchafu gani?
unataja takataka tu mkuu kwakweli naomba uishie hapo[emoji23][emoji23][emoji23] it's so shame uliwezaje kusema rayvanny bila mond hawezi ,ukitaka kujua makulusa in hit song kwa rayvanny fuatilia .hiyo vumbi sijai list mimi
ndo hoja yako, go fuc*** yourself nabishana na wanaojua and not a sh*thoe like uunataja takataka tu mkuu kwakweli naomba uishie hapo
12 Marook Harmonize namwona kama sisimizi kwa simba diamond platnumz yule NASIBU ABDULI ACHANA NAYE...JUZI MWANZA HARMONIZE ALIPIGA NYIMBO MBILI TU WATU WAKAWA HAWAMUELEWI..MOND ALIKAAAA STEJINI MASAAA MANNE.JUMAPILI AKAENDA BURUNDI ALIKUWA SIMBA BIN LADEN PEKEEE YAKE YAAANI DIAMOND PLATNUMZ HIM SELUFU.ONA HUO UMATI....NARUDIA TENA MWENYE VIBE NA WATU NI MOND HAO WENGINE BILA MOND HATA BAR ZA MANZESE HAPA HAWAJAZI ANGALIA HIZI VIDEO PLUS PICHA...DIAMOND WANYOOOOOOSHE MPAKA MAJI WAYAITE MMMAAAAAHabari za mda huu wakuu
Ivi nani anamzidi uyu Harmonize pale WCB? Harmo anakimbiza mpaka nnaona kama yeye ndo anaibeba WCB(kwa mtazamo wangu), na vipi kuhusu Mr Q-Chillah ka sign pale kwa Domo?
Aah aah aah!Wabongo wanafiki sana kitu wanachokiponda ndicho wanakipenda,eti nyimbo hazina ujumbe na anazijua nyimbo zote mpaka mpaka mistari yake.
Kama mziki ungekuwa ujumbe Kala Jeremiah ndio angekuwa The best kuliko wasanii wote,cha ajabu watu wanaomponda Rayvany ukiwambia kwa haraka haraka wakutajie nyimbo tatu za Kala Jeremiah hawazifaham lkn za Rayvanny wanazijua zote pamoja na kusema hazina meseji.