Harmonize in WCB

Harmonize in WCB

swali utakaa kwa baba milele?
Harmo anapata sapoti kubwa na ngoma zake zinaenda cos yupo wcb na moja ya tatizo la mashabiki wa bongo ukiondoka tu Kwenye label ambayo walikuwa wanakusapoti watakuwacha km hawakujui ndio kitu kitamkuta harmo ndo utajua ni vizuri kukaa kwa baba au kujitegemea ngojea nikupe mfano barnaba,benpol,Belle 9 hawa wote ni wasanii wanaojitegemea na ni wakali kwelkwel kuliko harmo je umeona wamefika wapi?
 
Pale WCB hakuna msanii mwenye nguvu zaid ya Diamond, ila sema huu ni muda wa Harmonize kufanya vizuri kwa kuwa Diamond career yake iko mwishon,Ukiona Harmonize anafanya vizuri ujue yule ni Diamond Part 2,Wasanii wote pale ukimwondoa Diamond hakuna anaye weza kusimama peke yake endapo akijitoa,Ndani ya mwez mmoja tutamsahau na kuanza kusikia flan saiv anakula unga kwa stress.

Pale WCB msanii ni Diamond tu aliye jitengenezea jina yeye kama yeye wengne wote ni marobot yaliyo tengenezwa kupitia nguvu aliyonayo Diamond,Msimtie kichwa Harmonize atapotea ndani ya mwez mmoja tu.

Tanzania siyo kama nchi zingne msanii ajitoe lebo flan na aka endelea kushine.
Hata nigeria napo ni hivyo hivyo kuna yule msanii alieimba mad over you alijitoa kwenye label akaanzisha yake sasa hivi hana hit anayoitoa
 
Sawa Tanasha
Sometimes uwe serious utasemaje diamond anaelekea mwisho wa career wakati anatoa hit after hit inama imetake over na kanyaga ndio kamaliza kabisa alafu ana massive show 24 kuanzia mwezi huu mpaka December ikiwemo ile ya Dubai itakayo wakutanisha wasanii wakubwa wa Africa pia usisahau mwaka huu ameshinda tuzo ya album yake ya a boy from tandale kuwa best album in Africa vile vile atafanya show yake kubwa ya miaka 10 ya diamond in music industry alafu eti unasema diamond anaelekea Mwisho wa career huo mwisho wa career yake unaupimaje?ndo maana wadau wanakupinga.
 
Harmo akiwa na akili atatulia WCB ..
Lakini akijichanganya kutoka sasa hivi ameisha. Kama ni kutoka asubiri wcb ikikaribia kuanguka (kama itaanguka) .
Harmo ana hit because yupo wcb tofaut na hapo atakuwa Kama rich mavoko.
 
asiyeamini amuulize rich mavoko, anajiita billionea kid wakati hadhi yake ni lakionea
Huyo mtoa mada anayemjaza upepo harmo akitoka wcb baadae atamgeuka
asiyeamini amuulize rich mavoko, anajiita billionea kid wakati hadhi yake ni lakionea
Harmo anafanya vizuri cos yupo wcb nje hapo atakuwa Kama kina belle9, richmavoko.tid n.k huyo mtoa mada anamjaza upepo wadau wanamuangalia tu asije baadae yeye akawa wa Kwanza kumgeuka alafu akaanzisha thread kibao za anguko la harmonize.
 
Pale WCB hakuna msanii mwenye nguvu zaid ya Diamond, ila sema huu ni muda wa Harmonize kufanya vizuri kwa kuwa Diamond career yake iko mwishon,Ukiona Harmonize anafanya vizuri ujue yule ni Diamond Part 2,Wasanii wote pale ukimwondoa Diamond hakuna anaye weza kusimama peke yake endapo akijitoa,Ndani ya mwez mmoja tutamsahau na kuanza kusikia flan saiv anakula unga kwa stress.

Pale WCB msanii ni Diamond tu aliye jitengenezea jina yeye kama yeye wengne wote ni marobot yaliyo tengenezwa kupitia nguvu aliyonayo Diamond,Msimtie kichwa Harmonize atapotea ndani ya mwez mmoja tu.

Tanzania siyo kama nchi zingne msanii ajitoe lebo flan na aka endelea kushine.
Mkuu sina Cha kucomment yaani umemaliza yote.
Akijiroga aondoke atarud kwao umakondeni.
Kiukweli Mimi sina ushabiki kabisa na Diamond ila huwa namkubali anavyowabeba na kuwasaidia vijana wenzake.
Kwa hyo inafaa huyo harmonize akumbuke alikotoka na amshukuru sana diamond kumtoa jalalani.
 
Pale WCB hakuna msanii mwenye nguvu zaid ya Diamond, ila sema huu ni muda wa Harmonize kufanya vizuri kwa kuwa Diamond career yake iko mwishon,Ukiona Harmonize anafanya vizuri ujue yule ni Diamond Part 2,Wasanii wote pale ukimwondoa Diamond hakuna anaye weza kusimama peke yake endapo akijitoa,Ndani ya mwez mmoja tutamsahau na kuanza kusikia flan saiv anakula unga kwa stress.

Pale WCB msanii ni Diamond tu aliye jitengenezea jina yeye kama yeye wengne wote ni marobot yaliyo tengenezwa kupitia nguvu aliyonayo Diamond,Msimtie kichwa Harmonize atapotea ndani ya mwez mmoja tu.

Tanzania siyo kama nchi zingne msanii ajitoe lebo flan na aka endelea kushine.

kwa mtazamo huu anayemfananisha Mboso na Aslay aangalie tena
 
Sometimes uwe serious utasemaje diamond anaelekea mwisho wa career wakati anatoa hit after hit inama imetake over na kanyaga ndio kamaliza kabisa alafu ana massive show 24 kuanzia mwezi huu mpaka December ikiwemo ile ya Dubai itakayo wakutanisha wasanii wakubwa wa Africa pia usisahau mwaka huu ameshinda tuzo ya album yake ya a boy from tandale kuwa best album in Africa vile vile atafanya show yake kubwa ya miaka 10 ya diamond in music industry alafu eti unasema diamond anaelekea Mwisho wa career huo mwisho wa career yake unaupimaje?ndo maana wadau wanakupinga.
Okay
 
Pale WCB hakuna msanii mwenye nguvu zaid ya Diamond, ila sema huu ni muda wa Harmonize kufanya vizuri kwa kuwa Diamond career yake iko mwishon,Ukiona Harmonize anafanya vizuri ujue yule ni Diamond Part 2,Wasanii wote pale ukimwondoa Diamond hakuna anaye weza kusimama peke yake endapo akijitoa,Ndani ya mwez mmoja tutamsahau na kuanza kusikia flan saiv anakula unga kwa stress.

Pale WCB msanii ni Diamond tu aliye jitengenezea jina yeye kama yeye wengne wote ni marobot yaliyo tengenezwa kupitia nguvu aliyonayo Diamond,Msimtie kichwa Harmonize atapotea ndani ya mwez mmoja tu.

Tanzania siyo kama nchi zingne msanii ajitoe lebo flan na aka endelea kushine.
Kwa bahati mbaya wa hapa Tz suala ya kutoendelea kufanya vizuri hakihusiani na uwezo/umahiri wa msanii
 
kumfananisha mboso na Aslay ni kumkosea heshima Aslay,Aslay katengeneza jina yeye kama yeye ila Mboso katengenezwa, so hana jeuri hata ya kumfunga hata kamba ya kiatu Aslay.
Huo ni kwa mtazamo wako lakini ukiangalia kwasasa hiv mboso ndo anaonekana anafanya vizuri zaidi ya aslay,mboso katoa hit song mfululizo Kama kipepeo,hodari na maajabu wakati kuanzia mwaka Jana mwez wa 11 mpaka mwk huu aslay hajatengeneza hit yoyote Hana hata ngoma moja inayofanya vizuri kwasasa aslay amepwaya ukiachana tu na ngoma zake kutofanya vizuri hata show zenyewe zimekauka kwake kubali tu mwaka huu umekuwa wa mboso hapa juzi tu mboso kafanya show ya pekee yake uwanja wa Tanga kajaza na pia amepata show nyingi Sana nje ya nchi.
 
Pale WCB hakuna msanii mwenye nguvu zaid ya Diamond, ila sema huu ni muda wa Harmonize kufanya vizuri kwa kuwa Diamond career yake iko mwishon,Ukiona Harmonize anafanya vizuri ujue yule ni Diamond Part 2,Wasanii wote pale ukimwondoa Diamond hakuna anaye weza kusimama peke yake endapo akijitoa,Ndani ya mwez mmoja tutamsahau na kuanza kusikia flan saiv anakula unga kwa stress.
Pale WCB msanii ni Diamond tu aliye jitengenezea jina yeye kama yeye wengne wote ni marobot yaliyo tengenezwa kupitia nguvu aliyonayo Diamond,Msimtie kichwa Harmonize atapotea ndani ya mwez mmoja tu.
Tanzania siyo kama nchi zingne msanii ajitoe lebo flan na aka endelea kushine.
hapo umesema mkuu mavoko toka aondoke WCB hana trending nzuri kwenye mziki mashabik wamekuwa wakiwashindanisha harmonize na diamond licha ya harmonize kukataa halaf harmonize hajamshinda bado mondi ukianzia kwenye record tuzo nk.istoshe style ya mziki anayofanya harmonize ni ya mondi (ameiga)
 
Hata nigeria napo ni hivyo hivyo kuna yule msanii alieimba mad over you alijitoa kwenye label akaanzisha yake sasa hivi hana hit anayoitoa
Runtown Saivi Sijui Kawaje? Me Nilijuaga Ana Lebel Yake Toka Kitambo
 
Back
Top Bottom