Atafungishwa ndoa na mchungaji bilionare shila au mc pilipili.Hata kama akibadili hawezi funga ndoa na mwanamke aliyekuwa kwenye ndoa yake teyari haipo kwenye ukristu unless her previous husband die. Atafumhishwa ndoa na mchungaji feki labda who knows.
Mkuu una uhakika na hili kweli? Je kanisa lilikiwa linajua hiki?
Alishatoka nafikiri ilikuwa miaka 5 kwaivo 2017 atakuwa alitokaKwa hyo jmaaa Yuko ndani dadeki walai ikitoka naanza na mmakonde
Bado wewe
π sawa sawaMe labda niw mnyakyusa
Mzee baba haya mambo ya mapenzi ni yakuyaacha, ukute kuna mtu mwingine akimuona demu wako anakushangaa unawezaje kuishi na mwanamke kama huyoalivyo mchafu, wakat wewe unamuona freh kabsaHata kama akibadili hawezi funga ndoa na mwanamke aliyekuwa kwenye ndoa yake teyari haipo kwenye ukristu unless her previous husband die. Atafumhishwa ndoa na mchungaji feki labda who knows.
Kajala alikuwa lkwenye ndoa teyari. Kwa mfumo wa kikristu ndoa hutenganishwa kwa kifo hakuna talaka. Mme wa kajala yuko hai na maana yake ni kuwa bado kidini wanatambulika kama mke na mume.Mzee baba haya mambo ya mapenzi ni yakuyaacha, ukute kuna mtu mwingine akimuona demu wako anakushangaa unawezaje kuishi na mwanamke kama huyoalivyo mchafu, wakat wewe unamuona freh kabsa
UmewwawezaNipo ktk kamati ya harusi ya Nandy, mambo ni mengi mnoo.
Sidhani, kuna. Mambo ya uasherati, uhanisi, magonjwa mfano HIV, hiyo inafanya ndoa kuvunjika na Kupeana talakaKajala alikuwa lkwenye ndoa teyari. Kwa mfumo wa kikristu ndoa hutenganishwa kwa kifo hakuna talaka. Mme wa kajala yuko hai na maana yake ni kuwa bado kidini wanatambulika kama mke na mume.
Iko siku akili itamrudia πππ mwache apooze nyege kwanzaMnaowasemaga single mom mpooo
Harmonize sio mjinga, upepo wake uko kwa Kajala. Kutoka nae kumempa mileage sana katika umaarufu na recognition. Ni nyota tu inawaka zaidi akiwa na Kajala ndio maana hata kipindi hawako wote watu walikuwa wanampuuza tu.Harmonize anajua kuteka media, saivi kila habari ni harmonize, Kama ni kick basi hii ni super kick, nakumbuka enzi za diamond na wema.
Eheheh wivu tuIko siku akili itamrudia πππ mwache apooze nyege kwanza
Atakuwa mtamu sana na anajua kusimamia show uwanja qa seremala.Huyu dada alimpa nini, awafundishe na wenzie
Mmewe yuko jela somebody faraji walikutwa na kesi ya kutakatisha hela .Hivi Kajala alishaolewa rasmi na Baba Paula au walizaa tuu? Ila ni ushenzi wa ajabu mno kubadili dini. Kwa nini wasingefunga ndoa mseto? Hapa ndiyo namdharau huyu Mmakonde. Mimi ni follower wake Ila kwa hili naweza unfolliw kabisa .
Tunazungumzia single mome wenye watoto wadogo huwa wakorofi na wasumbufuMnaowasemaga single mom mpooo
Jamaa huwa wanafiqAngekuwa mkristu amebadili kwenda uislam [emoji1787][emoji1787] ungeona , Mashallah Mashallah za kutosha Allah Akbar , karbu Kwenye Dini ya haki , uislam utatawala Dunia , haha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umewwaweza