Harmonize kafunika sherehe ya Yanga leo

Harmonize kafunika sherehe ya Yanga leo

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Hongera sana Harmonize. Umefanya kitu kikubwa sana.

Mimi ni Yanga lia lia but leo niseme wazi kwamba tukio la Harmonize na Kajala limefunika tukio la sherehe ya ubingwa wa Yanga.



Mitandao ya Kijamii Tz, Kenya, Uganda na Nigeria imetawaliwa na habari ya tukio la Harmonize.

Hongera sana Harmonize. U have the good PR team.
 
Picha pls🙏
Hongera sana Harmonize. Umefanya kitu kikubwa sana.

Mimi ni Yanga lia lia but leo niseme wazi kwamba tukio la Harmonize na Kajala limefunika tukio la sherehe ya ubingwa wa Yanga.



Mitandao ya Kijamii Tz, Kenya, Uganda na Nigeria imetawaliwa na habari ya tukio la Harmonize.

Hongera sana Harmonize. U have the good PR team.
 
Hongera sana Harmonize. Umefanya kitu kikubwa sana.

Mimi ni Yanga lia lia but leo niseme wazi kwamba tukio la Harmonize na Kajala limefunika tukio la sherehe ya ubingwa wa Yanga.



Mitandao ya Kijamii Tz, Kenya, Uganda na Nigeria imetawaliwa na habari ya tukio la Harmonize.

Hongera sana Harmonize. U have the good PR team.
Huyu Harmonize hafai kbs , ndo alivyofanya..?

Hata mie Sijapenda kbs...!

Siku nyingine mniite nimkomeshe..! Hana Adabu..!
 
Kwa kweli ametumia nguvu kubwa kuanzia kumfukuzia upya kajala. Tatizo lake ni nyota tu ndio hana. Angebarikiwa nyota angekuwa mbali sana coz anajua kufosi king.

Kwa hiyo wataenda kuishi nyumba moja na Paula?
 
Picha pls[emoji120]
Screenshot_20220626-121138_Twitter.jpg
 
Kwa kweli ametumia nguvu kubwa kuanzia kumfukuzia upya kajala. Tatizo lake ni nyota tu ndio hana. Angebarikiwa nyota angekuwa mbali sana coz anajua kufosi king.

Kwa hiyo wataenda kuishi nyumba moja na Paula?
Harnonise hajatumia nguvu kubwa kama unavyodhani,mwenzio anajua anachofanya,alikuwa anatafuta kuzungumziwa na kafanikiwa...kapata umaarufu na kajala kampata. Kwa kusoma comment yako napata hisia kama vile unamchukia mmakonde.
 
Back
Top Bottom