Harmonize kamrudisha Rich Mavoko kwenye game upya

Harmonize kamrudisha Rich Mavoko kwenye game upya

Gentleman96

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2019
Posts
912
Reaction score
1,670
Mambo vipi!

Kama unavojua rich mavoko aliondoka wasafi na kuanza kujitegemea, lakini hajawahi kutoa ngoma wala kuskika kama mwanamuziki mkubwa! sasa harmonize amesema kuhusu mchizi!

Familia ngapi zipo nyuma ya Rich Mavoko na zinamtegemea yeye kwakila jambo hasa hili la kupata mkate wa kila siku vp kuhusu ndoto za familia hizo na zinaishije katika wakati huu?

Ndoto ngapi za wasani ambao wanategemea kuzifikia hizo ndoto kupitia mavoco na nyuma ya hao wasanii kuna familia nyenginepia

Je, maumivu malala miko ya wazazi wake hasa mama mzazi ambae ndio kama roho yake ushajiuliza ni kauli ngapi za uchungu anazitoa ambazo zinaweza kumpata kila anaefurahishwa na hili kwa makusudi

Mana mzazi wa mwenzio ni wako pia laana yake haishindwi kukupata. La mwisho kabisa mgeukie mwenzio anaefurahia na kuifanya hii kuwa ni habari njema kwake ya kumfanya atembee kifua mbele na hata kuandika mtandaoni kwa furaha Mavoko kapotea muulize anafaidika na nini?

Mungu anasababu na maana yake bro Rich Mavoko kama mdogoako nakuombea najua ukimya wako unamaana kubwa sanaa ndani yako ninachojua ni kujiweka sawa na kutuletea kazi zingine tunakupenda na tunakuombea mungu akufanyie wepesi. Let's go bro mdogoako rafiki yako nipo hapa muda wowote.

Ramadan Kareem


Screenshot_20200506-083156_Instagram.jpg
 
Kipi huwa kinasababisha wasanii wa nyumbani wakianguka na wasiinuke tena? Tungo zao ni zilezile hawawezi kubadilisha ladha ya muziki wao au.

Ferouz alijaribu kuinuka akabaki chini pale. Q Chilla hadi leo yupo chini licha ya uwezo mkubwa wa kuimba alionao. TID naye hivyohivyo japo ukubwa wa J Nature umemsaidia hata akipata collabo anafanya kitu chenye kuonekana.

Tatizo ni nini kwa wasanii wetu ni kwamba hawana namna ya kurudi wakishuka kimuziki au mashabiki huwachoka mapema na kuwashusha wao wenyewe? Sioni Rich Mavoko akitafuna mfupa uliowashinda wengi.
 
Pengine aje afanye collaboration na wasanii WALIOPO trending
Kipi huwa kinasababisha wasanii wa nyumbani wakianguka na wasiinuke tena? Tungo zao ni zilezile hawawezi kubadilisha ladha ya muziki wao au.

Ferouz alijaribu kuinuka akabaki chini pale. Q Chilla hadi leo yupo chini licha ya uwezo mkubwa wa kuimba alionao. TID naye hivyohivyo japo ukubwa wa J Nature umemsaidia hata akipata collabo anafanya kitu chenye kuonekana.

Tatizo ni nini kwa wasanii wetu ni kwamba hawana namna ya kurudi wakishuka kimuziki au mashabiki huwachoka mapema na kuwashusha wao wenyewe? Sioni Rich Mavoko akitafuna mfupa uliowashinda wengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pengine aje afanye collaboration na wasanii WALIOPO trending

Sent using Jamii Forums mobile app
Haiwezi kufanya muziki wake urudi yaani Tanzania ukiteleza katika muziki itatumika nguvu kubwa sana kukurudisha.

Baada ya Darassa kutoa wimbo Safari na Muziki alijikakamua kutoa nyimbo zaidi ya 3 ila hazikuwa kama zile na watu wakaona Darassa alijishusha mwenyewe kwa kushindwa kuleta upinzani kwenye wimbo wake mwenyewe. Sasa Rich Mavoko haitaji collabo na Diamond au Harmonize ili arudi katika game ya muziki ila anatakiwa ajue zamani aliweza vipi na afanye nini amerudi kuwa pale alipodondokea.

Rich alifanya kazi na Diamond ila kwa muda mchache wimbo una-hit na kufutika katika anga la burudani leo hata afanye kazi na wasanii mwenye ushawishi anaweza akatumika kumwongezea ushawishi huyo atakaeimba naye.

Kikubwa asimame mwenyewe aone kama ataweza ila akianza kusimama kwa kutaka collabo na wengine je atarudia nao collabo ngapi ili azidi kuwa juu kimuziki.
 
Kipi huwa kinasababisha wasanii wa nyumbani wakianguka na wasiinuke tena? Tungo zao ni zilezile hawawezi kubadilisha ladha ya muziki wao au.

Ferouz alijaribu kuinuka akabaki chini pale. Q Chilla hadi leo yupo chini licha ya uwezo mkubwa wa kuimba alionao. TID naye hivyohivyo japo ukubwa wa J Nature umemsaidia hata akipata collabo anafanya kitu chenye kuonekana.

Tatizo ni nini kwa wasanii wetu ni kwamba hawana namna ya kurudi wakishuka kimuziki au mashabiki huwachoka mapema na kuwashusha wao wenyewe? Sioni Rich Mavoko akitafuna mfupa uliowashinda wengi.
Q chiller na Feruzi ni madawa ndio hayajawarudisha ... Q chiller mwaka 2017 alirudishwa mwenye game vizuri na videos kadhaa zikafanyiwa south na manager " Fundi Masaiti" alimpa nyuma aishi Mbezi beach ila bangi zake na madawa yakamfanya kukorofishana na manager wake ... Ingia YouTube channel ya EATV utafute hiyo interview akiwa na manager wake wakikorofishana + Mambo ambayo manager wake alikuwa amemfanyia ... Hizo Bahati haziji Mara 2 tena...


Furuzi ni madawa ....


Mbona J- Moe alirudi kwa Kasi , Mbona Ali kiba alikaa zaidi ya miaka mitano na akarudi na mpaka kuchukua tuzo za kimataifa ??? ....



Issue ni wasanii wa zamani ujuaji mwingi + madawa ... Ila naamini Rich mavoko atarudi this soon alikosa management ya kupush kazi zake vizuri. Kuna projects kadhaa alifanya hapo karibuni zilikuwa nzuri sema management ya kupush muziki wake alikuwa Hana .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Q chiller na Feruzi ni madawa ndio hayajawarudisha ... Q chiller mwaka 2017 alirudishwa mwenye game vizuri na videos kadhaa zikafanyiwa south na manager " Fundi Masaiti" alimpa nyuma aishi Mbezi beach ila bangi zake na madawa yakamfanya kukorofishana na manager wake ... Ingia YouTube channel ya EATV utafute hiyo interview akiwa na manager wake wakikorofishana + Mambo ambayo manager wake alikuwa amemfanyia ... Hizo Bahati haziji Mara 2 tena...


Furuzi ni madawa ....


Mbona J- Moe alirudi kwa Kasi , Mbona Ali kiba alikaa zaidi ya miaka mitano na akarudi na mpaka kuchukua tuzo za kimataifa ??? ....



Issue ni wasanii wa zamani ujuaji mwingi + madawa ... Ila naamini Rich mavoko atarudi this soon alikosa management ya kupush kazi zake vizuri. Kuna projects kadhaa alifanya hapo karibuni zilikuwa nzuri sema management ya kupush muziki wake alikuwa Hana .

Sent using Jamii Forums mobile app
Tutaona huo ujio wake kama kweli utakuwa na manufaa kwake na kwa wapenzi wa muziki wake.

Ila kwangu nitakuwa wa mwisho kuamini kama atapanda kimuziki kwa sasa.
 
Hayo maneno ameyaandika Huyu huyu harmonize,ambae alitaka kumrudisha Q chief kwenye game mwishowe akashindwa vibaya sana na kumtelekeza Q chief wa watu na Tangu konde kafungua Kondegang hataki hata kumpost Q chief

Haya mambo ya kumsimamia msanii ni magumu sana,harmonize alishaprove failure kwa Q chief sioni akileta jipya kwa mavoco.
ni kupuuzia tu, maana hata ibraa tz,ameshindwa kumweka level ya hata ya Zuchu kwenye trending huko streaming platforms,maybe Ngoja tuone hiyo ijumaa.
 
Haiwezi kufanya muziki wake urudi yaani Tanzania ukiteleza katika muziki itatumika nguvu kubwa sana kukurudisha.

Baada ya Darassa kutoa wimbo Safari na Muziki alijikakamua kutoa nyimbo zaidi ya 3 ila hazikuwa kama zile na watu wakaona Darassa alijishusha mwenyewe kwa kushindwa kuleta upinzani kwenye wimbo wake mwenyewe. Sasa Rich Mavoko haitaji collabo na Diamond au Harmonize ili arudi katika game ya muziki ila anatakiwa ajue zamani aliweza vipi na afanye nini amerudi kuwa pale alipodondokea.

Rich alifanya kazi na Diamond ila kwa muda mchache wimbo una-hit na kufutika katika anga la burudani leo hata afanye kazi na wasanii mwenye ushawishi anaweza akatumika kumwongezea ushawishi huyo atakaeimba naye.

Kikubwa asimame mwenyewe aone kama ataweza ila akianza kusimama kwa kutaka collabo na wengine je atarudia nao collabo ngapi ili azidi kuwa juu kimuziki.
Hata Darasa Ni madawa ya kulevya, wale majirani zake kule makongo juu wanajua jamaa alivyokuwa ... Narudia Tena wasanii wengi wa tanzania hawajielew...




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Q chiller na Feruzi ni madawa ndio hayajawarudisha ... Q chiller mwaka 2017 alirudishwa mwenye game vizuri na videos kadhaa zikafanyiwa south na manager " Fundi Masaiti" alimpa nyuma aishi Mbezi beach ila bangi zake na madawa yakamfanya kukorofishana na manager wake ... Ingia YouTube channel ya EATV utafute hiyo interview akiwa na manager wake wakikorofishana + Mambo ambayo manager wake alikuwa amemfanyia ... Hizo Bahati haziji Mara 2 tena...


Furuzi ni madawa ....


Mbona J- Moe alirudi kwa Kasi , Mbona Ali kiba alikaa zaidi ya miaka mitano na akarudi na mpaka kuchukua tuzo za kimataifa ??? ....



Issue ni wasanii wa zamani ujuaji mwingi + madawa ... Ila naamini Rich mavoko atarudi this soon alikosa management ya kupush kazi zake vizuri. Kuna projects kadhaa alifanya hapo karibuni zilikuwa nzuri sema management ya kupush muziki wake alikuwa Hana .

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye kukosa management nakuunga mkono,ila ninashauri kama Harmonize atampa mkataba Mavoko itatoa collaboration moja ya hatari sana,Mavoko yuko vizuri sana...
 
Hayo maneno ameyaandika Huyu huyu harmonize,ambae alitaka kumrudisha Q chief kwenye game mwishowe akashindwa vibaya sana na kumtelekeza Q chief wa watu na Tangu konde kafungua Kondegang hataki hata kumpost Q chief

Haya mambo ya kumsimamia msanii ni magumu sana,harmonize alishaprove failure kwa Q chief sioni akileta jipya kwa mavoco.
ni kupuuzia tu, maana hata ibraa tz,ameshindwa kumweka level ya hata ya Zuchu kwenye trending huko streaming platforms,maybe Ngoja tuone hiyo ijumaa.
Q chief ni madawa kijana , aliwahi kupata muwekezaji mwenye hela zaidi ya Huyo harmonize ila aliishia kwenye madawa ... Alipewa Nyumba Mbezi beach kuishi bure yeye na familia Yake ila mwisho nadhani unaujua...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipi huwa kinasababisha wasanii wa nyumbani wakianguka na wasiinuke tena? Tungo zao ni zilezile hawawezi kubadilisha ladha ya muziki wao au.

Ferouz alijaribu kuinuka akabaki chini pale. Q Chilla hadi leo yupo chini licha ya uwezo mkubwa wa kuimba alionao. TID naye hivyohivyo japo ukubwa wa J Nature umemsaidia hata akipata collabo anafanya kitu chenye kuonekana.

Tatizo ni nini kwa wasanii wetu ni kwamba hawana namna ya kurudi wakishuka kimuziki au mashabiki huwachoka mapema na kuwashusha wao wenyewe? Sioni Rich Mavoko akitafuna mfupa uliowashinda wengi.

Sio Tanzania ni dunia nzima.
Msanii akivuma kwa aina flani ya muziki na baadae huo mziki ubadilike au upitwe na wakati, msanii kama hana uwezo wa kubadilika na kuendana na soko sio rahisi kurudi

Mfano Neyo alisumbua kiuandishi na hitz kutokana na Rnb iliyokuwa ikivuma sana time yake. Game lilipobadilika akashindwa kubadilika hadi leo anastruggle tu

Bongo tabu ile ile japo siku hizi tumezidi maana siku hizi diversity hakuna.usipoimba katika flow flani, kwa maneno flani. Sahau kuhusu kurudi on top na Asipopatikana Game changer mwingine kama Diamond. Sio rahisi hii issue kuisha
 
Back
Top Bottom