Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Hivi harmonize ni kama game limemshinda kabisa hakuna wimbo wake unao hit sana ni kama mziki umemshinda show now anapiga za humu humu ndani njee, sio kama zaman au jamaa. Ndio kafirisika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anadaiwa bank yuko stressful by now hatulizi akili kutoa hitsong
Mtoto wa mama kizimkazi...
Amebase kwenye drama na sio kazi.
ow bank hana at 20mMilioni 103
Anatesekaje mkuu??a nateseka now duh
ow bank hana at 20mMilioni 103
ond anamloga so mondi mchawi kwakWakiambiwa diamond ni kichwa wanaleta uzwazwa sasa ona wenzao kina mboso wanatoa hitsongs daily na hawapoi
= kafilisika.hivi harmonize ni kama game limemshinda kabisa hakuna wimbo wake unao hit sana ni kama mziki umemshinda show now anapiga za humu humu ndani njee sio kama Zaman au jamaa.ndio kafirisika
pesa tuAnatesekaje mkuu??
aminisha uma kuwa anaweza bila mondi ndio kilicho muuaKufanya kazi ya mziki ni mziki, alianza kuyumba long time akashindwa kuwahold wale vijana alikuwa anawasimamia.
Mambo ni fire 🔥 mzee wangu.
Mziki hmetajirisha wengi na umewafuta kwenye game.
Kina jumanne iddi, best Nasso, Mr Nice, Bushoke, na wengine wengi walikuwa on fire now wamezimika huu mziki si kuimba tu una mambo mengi.
IKonde hana wimbo unaotamba sasa au wewe haufuatilii mziki?
Jamaa yuko vizuri.
Huwezi jua mkuu, anazo ndio maana wanamlia.wanawake wanamlia
pesa tu