Harmonize kapotea kwenye game sasa hivi

Harmonize kapotea kwenye game sasa hivi

sqsa sindo kufilisika uko unatumia pesa nyingi af faida ndoga yaani anajitafuta akijipata pesa zinaishia kwa wanawake
Napenda kumchukulia harmonize kama content creator kuliko mwanamuziki.

Jamaa anaachia nyimbo nyingi mno hata ukienda kumcheki sasa hivi utakuta ana nyimbo mbili tatu huu mwezi peke yake.

Anaegemea zaidi kwenye quantity na sio quality, hitsong atazileta lakini ni baada ya kutoa flops kibao.
i
 
hivi harmonize ni kama game limemshinda kabisa hakuna wimbo wake unao hit sana ni kama mziki umemshinda show now anapiga za humu humu ndani njee sio kama Zaman au jamaa.ndio kafirisika
Yuko kwenye hirbernation period. Anakula demu wake kwa raha zake, kwa mahaba hayo unafikiri itapatikana akili .Ngoja hela ikiisha, demu akapotea na kuchukuliwa na wengine, nafikiri akili itarudi
 
Yuko kwenye hirbernation period. Anakula demu wake kwa raha zake, kwa mahaba hayo unafikiri itapatikana akili .Ngoja hela ikiisha, demu akapotea na kuchukuliwa na wengine, nafikiri akili itarudi
ahahah 😂
 
Back
Top Bottom