Harmonize kashatoka kimaisha hawezi kurudi nyuma

BMWX6 gari ya kawaida haina bei mbaya hata milion 30 unapata, anayo na prado ya kizamani, mwana bongo fleva mwenye gar ya maana ni lady jadee anayo VOGUE SPORT, hata kipanya hamer yake ya bei mbaya, diamond show off tu hana kitu
Sasa unaitwa laki si pesa unazani utakuwa na akili kweli Toa upumbavu hapa tutakutoa jamii forum eboooh
 
BMWX6 gari ya kawaida haina bei mbaya hata milion 30 unapata, anayo na prado ya kizamani, mwana bongo fleva mwenye gar ya maana ni lady jadee anayo VOGUE SPORT, hata kipanya hamer yake ya bei mbaya, diamond show off tu hana kitu
Basi kaka
 
BMWX6 gari ya kawaida haina bei mbaya hata milion 30 unapata, anayo na prado ya kizamani, mwana bongo fleva mwenye gar ya maana ni lady jadee anayo VOGUE SPORT, hata kipanya hamer yake ya bei mbaya, diamond show off tu hana kitu
We jamaa una tatizo la ubongo Sasa wewe diamond unaweza kumfanisha na Nani kipesa na wasanii wako wa bongo?una onekana una chuki binafsi huna lolote mwenzako ana kupa facts wewe unaropoka hiv umeishia kjdato gani?
 
We jamaa una tatizo la ubongo Sasa wewe diamond unaweza kumfanisha na Nani kipesa na wasanii wako wa bongo?una onekana una chuki binafsi huna lolote mwenzako ana kupa facts wewe unaropoka hiv umeishia kjdato gani?
Bwana innocent dependent huyo dogo nahis anapenda lala kisogo kaelekezA juuu ..MOND EAST AFRICA KWA WASANII WA PILI KIPESA ANA UTAJIRI DOLA M 4 ANAYEONGOZA NI CAMELEONE DOLA M 5
 
ninayo pesa ya kukulisha wewe, na ukoo wako wote mpaka siku mnaenda kaburini nyau wewe
Huna pesa wewe ungekuwa na pesa usingekuwa una wivu na watu wenye mafanikio yaani nimekushangaa et diamond Hana pesa ya kununua gari la hata mil 50 eti anafanya show off wewe jamaa una wivu mpaka shetani umemshinda hii kauli yako ungeongea kwenye press conference watu wangekupuuzia Sana
 
We jamaa una tatizo la ubongo Sasa wewe diamond unaweza kumfanisha na Nani kipesa na wasanii wako wa bongo?una onekana una chuki binafsi huna lolote mwenzako ana kupa facts wewe unaropoka hiv umeishia kjdato gani?
diamonda hana pesa yoyote ni fukara wa kutupwa, ana nini zaidi ya kale ka kibanda ka madale? hata AY anamzidi kwa mjengo mkali
 
ninayo pesa ya kukulisha wewe, na ukoo wako wote mpaka siku mnaenda kaburini nyau wewe
Panya wewe,mimi ninayo pesa ya kukulisha wewe na ukoo jumlisha kijiji chako chote mpaka mnaenda kaburini na kufufuka wewe,panya jumlisha nyau wewe square eboooh
 
diamonda hana pesa yoyote ni fukara wa kutupwa, ana nini zaidi ya kale ka kibanda ka madale? hata AY anamzidi kwa mjengo mkali
AY muuza madawa ya kulevya afu mzee wa miaka 50 ndo umlinganishe na diamond icon ya taifa go to hell
 
Mashabiki wa kibongo bana, sijui huwa mnafikiria nini, Ulishawahi kuwa na takwimu ya pesa aliyokuwa nayo Mr. Nice mpaka unafanya ulinganifu?
Unauliza Harmo ana nini? kwa hiyo umejitoa akili kujua ananini? Basi anahicho kinachofanya tumjadili.

Ati!! milioni 300 kitu gani? Ni vigumu kujua ni kitu gani ila kama unataka kujua ni nini tafuta mzee halafu umuulize hilo swali atakujibu kwa ufasa kabisa.
 
Team Kiba bhana....kaaazi mnayo
 

Hap mashabiki wa wcb wanaonunua nyimbo mtandaoni ni wangapi?fan base ya bongo ni umbea tuu
 
Team Kiba bhana....kaaazi mnayo
Team Kiba? Yaani niwe mshabiki wa mtu kweli? Kama ni ushabiki basi mimi huwa mshabiki wa taasisi/mfumo na siyo mtu. Hata hivyo mbona uzi unamzungumzia Konde Boy na siyo Ali kiba unayemzungumzia? Vipi uko na tatizo la kuchanganya mada?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…