Kapambana sana sana hata hapo alipo sio mbaya as long as % inaishia mfukoni mwakeHii ni orodha ya wanamuziki wa kiume Tanzania waliotazamwa zaidi YouTube kwa muda wote ambapo wasanii wa Bongofleva, Diamond Platnumz na rayvanny wameongoza.
1. Diamond Platnumz 2.2B
2. Rayvanny 955M
3. Harmonize 933M
4. Mbosso 567M
5. Alikiba 265M
6. Lava Lava 237M
7. Aslay 191M
8. Marioo 174M
9. Sifaeli Mwambuka 139M
10. Christopher Mwahangila 118M
Enzi yupo na Baada ya kujitoa pale mjini WCB konde boy alikuwa anamfuatia mond Kwa views......lakini now ni watatu[emoji23]
Je yaw yaw ......ameanza kukata moto View attachment 2683818
Kapambana sana kwa mapambano aliyopitia asingeweza kuwa hapo maana nje ya wwsafi na bifu na wasafi bado yuko hapo kapambana kweli.Ofcourse.....lkn namba hazidanganyi
Yeye ndo aliyeforce bifu....Ili awe on trending.....Baada ya mond kujua hilo ...na kuanza kutomjibu ndipo unapoona kijana ana dropKapambana sana kwa mapambano aliyopitia asingeweza kuwa hapo maana nje ya wwsafi na bifu na wasafi bado yuko hapo kapambana kweli.
Hajadrop yuko top 3 ni jambo kubwa hiloYeye ndo aliyeforce bifu....Ili awe on trending.....Baada ya mond kujua hilo ...na kuanza kutomjibu ndipo unapoona kijana ana drop
Sifaelli mwambuka??duh ndo nasikia jina Leo na kamzidi Hadi Zuchu?
Wasafi hawana bifu nae yeye ndiye mwenye bifu na wasafi (diamond)Kapambana sana kwa mapambano aliyopitia asingeweza kuwa hapo maana nje ya wwsafi na bifu na wasafi bado yuko hapo kapambana kweli.
Kapambana sana sana hata hapo alipo sio mbaya as long as % inaishia mfukoni mwake