Nyonzo bin mvule
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 2,428
- 6,929
Kiba Sio kama hawezi kuongoza la hasha,, ila kawapisha kina mondi hapo juu kwa kuwa yeye apendi shooofu🚶♂️Hii ni orodha ya wanamuziki wa kiume Tanzania waliotazamwa zaidi YouTube kwa muda wote, ambapo wasanii wa Bongofleva, Diamond Platnumz na rayvanny wameongoza.
1. Diamond Platnumz 2.2B
2. Rayvanny 955M
3. Harmonize 933M
4. Mbosso 567M
5. Alikiba 265M
6. Lava Lava 237M
7. Aslay 191M
8. Marioo 174M
9. Sifaeli Mwambuka 139M
10. Christopher Mwahangila 118M
Enzi yupo na Baada ya kujitoa pale mjini WCB Harmonize alikuwa anamfuatia Diamond kwa views, lakini sasa ni watatu[emoji23].
Je, yaw yaw, ameanza kukata moto?
View attachment 2683818
Mkuu.....hii ni orodha ya views YouTube [emoji23][emoji23]Marioo kapitwa na Aslay na Lava lava kwa kipiii?? Hii orodha ya mchongoo khaaaah.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wasafi hawajawahi kuwa bifu na yeye , yeye ndio ana bifu na wasafi na wasanii wengi wa bongo wamekariri iliutoboe ni lazima uwe na bifu na mondi mbona marioo anafanya poa bila hata kuwa na bifu na mondiKapambana sana kwa mapambano aliyopitia asingeweza kuwa hapo maana nje ya wwsafi na bifu na wasafi bado yuko hapo kapambana kweli.
Zuchu ni msanii wa kike,hapo ni wasanii wa kiume ndiyomaana haujamuona kwenye list.Sifaelli mwambuka??duh ndo nasikia jina Leo na kamzidi Hadi Zuchu?
Yaaah kabisa mkuu....Kuna huyu chindo man alitrend sana Baada ya ku mchallange mond mtandaoniWasafi hawajawahi kuwa bifu na yeye , yeye ndio ana bifu na wasafi na wasanii wengi wa bongo wamekariri iliutoboe ni lazima uwe na bifu na mondi mbona marioo anafanya poa bila hata kuwa na bifu na mondi
Tino sijui ChinoNan mkuu
Mapambano gani hayo aliyopambana? Beef na wasafi kvp? Ikiwa anapata support kutoka media zote kubwa TzKapambana sana kwa mapambano aliyopitia asingeweza kuwa hapo maana nje ya wwsafi na bifu na wasafi bado yuko hapo kapambana kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kiba Sio kama hawezi kuongoza la hasha,, ila kawapisha kina mondi hapo juu kwa kuwa yeye apendi shooofu[emoji2211]
Mavi yakeBy now Marioo alipaswa kuwa wa kwanza