Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Ndio macho yako yanaona?
Wewe huwa unasuka kila baada ya siku ngapiLabda anasuka kila baada ya muda sisis hatujui
Miezi 6 ni mingi sana.. kuna kuota kwa nywele pia na hii inaweza sababisha nywele zipoteze ubora
Sent using Jamii Forums mobile app
Aibu Gani
Hebu leo wanawake semeni nyie mnasukaje maana kila wiki mnaenda salon kusuka ila huyu Harmonize ni zaidi ya miezi 6 tangu asuke ila nywele zake zina ubora tofauti na nyie tatizo liko wapi?
Kwanini msisuke kama Harmonize ili mpunguze matumizi ya mara kwa mara katika ususi. View attachment 1392129
Sijui anataka kuunga mkono kikeni maana anaona anapenda kuunga juhudi.Mmh kwani naye ni wa kikeni?
Jr[emoji769]
Marcelo hivi bado yuko Madrid? Dah Corona imemficha sana huyu mshikaji.Huyo kila wiki atakua anafumua na kusuka upya..maana nywele zipo zinazootea...akijitahdi baadae atakua na nywele Kama za marcelo
Huwenda akawa anafanya hivyo. Maana toka Novemba 2019 naona anazagaa na hizo nywele.Anasuka mara kwa mara, kaamua aonekane na msuko mmoja.
Inawezekana pia.Inawezekana anafumua usiku na kusukwa tena
Mnataka wake zenu wasuke twende kilioni ili mkwepe gharama za kununua rasta kkoo au tatizo nini ?Hebu leo wanawake semeni nyie mnasukaje maana kila wiki mnaenda salon kusuka ila huyu Harmonize ni zaidi ya miezi 6 tangu asuke ila nywele zake zina ubora tofauti na nyie tatizo liko wapi?
Kwanini msisuke kama Harmonize ili mpunguze matumizi ya mara kwa mara katika ususi. View attachment 1392129
Wale Wamasai huwa wanasokota mara kwa mara nywele zao au ni mara moja katika kipindi chote cha maisha yao?Labda anasuka kila baada ya muda sisis hatujui
Miezi 6 ni mingi sana.. kuna kuota kwa nywele pia na hii inaweza sababisha nywele zipoteze ubora
Sent using Jamii Forums mobile app