Harmonize kasuka zaidi ya miezi 6 bila kufumua

Harmonize kasuka zaidi ya miezi 6 bila kufumua

Mnataka wake zenu wasuke twende kilioni ili mkwepe gharama za kununua rasta kkoo au tatizo nini ?
Kwani huo uzi wangu umeona kuna sehemu umeandikwa na jumuiya?

Mtu=Watu.
Chuma=Vyuma.
Sikio=Masikio.

Najua utaelewa.
 
Kwahiyo anakaa wanamsuka??

Nakumbuka nikiona dada zangu wakisukana kwenye vigoda, ndio hivyo hivyo ama??
 
Hebu leo wanawake semeni nyie mnasukaje maana kila wiki mnaenda salon kusuka ila huyu Harmonize ni zaidi ya miezi 6 tangu asuke ila nywele zake zina ubora tofauti na nyie tatizo liko wapi?

Kwanini msisuke kama Harmonize ili mpunguze matumizi ya mara kwa mara katika ususi. View attachment 1392129
Tutajie tarehe na mwezi aliyosuka kwani inaonekana wewe ndiye uliyemsuka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani mkienda kunyoa hua mnasimama?

Kurudi kwenye topic nahis harmonize atakua ananuka nywele.
Kwahiyo anakaa wanamsuka??

Nakumbuka nikiona dada zangu wakisukana kwenye vigoda, ndio hivyo hivyo ama??
 
Kuhusu wa masai mi sijui.. hilo nililosema nimejatibu kuwaza kwa sauti..

Miezi sita ni mingi sana nywele iliosukwa iwe intact vile vile... labda kama wanaondoa hair folicals..
Wale Wamasai huwa wanasokota mara kwa mara nywele zao au ni mara moja katika kipindi chote cha maisha yao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anafumuaga!!
IMG_20200318_231828.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu leo wanawake semeni nyie mnasukaje maana kila wiki mnaenda salon kusuka ila huyu Harmonize ni zaidi ya miezi 6 tangu asuke ila nywele zake zina ubora tofauti na nyie tatizo liko wapi?

Kwanini msisuke kama Harmonize ili mpunguze matumizi ya mara kwa mara katika ususi. View attachment 1392129
Ndio maana Africa hatuendelei kwa kufuatilia maisha ya watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom