Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Clouds Media Group ni Media House na WCB ni Music Label Ulinganifu huu ulikuwa unamaanisha nini?Ikikua WCB itakuwa mbaya Kuliko Clouds Media group
hamna anachojua huyo amekariri kila Bus la mkoani lazma liende DarClouds Media Group ni Media House na WCB ni Music Label Ulinganifu huu ulikuwa unamaanisha nini?
Clouds Media Group ni Media House na WCB ni Music Label Ulinganifu huu ulikuwa unamaanisha nini?
JIfunze kutofautisha kati ya hisia na uhalisiaHii ni taarifa nyeti sana tena iko motomoto.,kwa sasa Harmonize ndio tishio kwa Diamond na WCB.
Hivyo kwa sasa WCB hapanogi tena muda umefika kijana amekua anahitaji empire yake.
Kutokana na kukua kiuchumi na mabadiliko ya tabia na ulevi wa sigara/bangi.,kijana aambiliki kwa sasa.
Na kuna mpango mkakati uko chinichini kumdondosha pale alipo..umewahi jiuliza kwann Mlezi atoe kauli ile kwa harmonize? Kwann hasingemsubiri arudi hadi anamuhusisha na bangi mbele ya media ule si ulezi ,ni mpango maalumu kumdrop...
ukitaka kumuua paka MPE jina baya utamuua kiraisi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Amefanyaje mkuu ila dogo kaharibikaHarmonize atakuwa na mwisho mbaya sana ni swala la muda tu, ameshindwa kuwa na nidhamu kama boss wake
Ila Mkwere aisee kaleta tabu sana kutuletea jiweTuliwaambia watoto wadogo
Ikikua WCB itakuwa mbaya Kuliko Clouds Media group
Huenda Ruge tutamkumbuka kama tunavyomkumbuka Mkwere
Nmekuuliza kuna ulinganifu gani kati ya Clouds Media Group (Media House) na WCB (Music Group) ?Ussishie kukariri Maneno , Clouds media group ilikuwa zaid ya Media House
Bado upo nyuma sana kaka.Lil Wyne pamoja na kuwa anamiliki vitenga uchumi vyake lakini bado yupo under Bird Man Young Money, tatizo sisi wabongo tukisha pata hela ya kuweza kuhonga basi tumesha maliza..
Nilishawahi kusema pahala huyu dogo ni mkali kuliko mond....watu walikuwa hawaelewiAshamzidi boss wake, na kwa mwaka 2018 kamfunika kabisa domo!
Mafahari wawili hawakai zizi moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Shatan wishesHarmonize atakuwa na mwisho mbaya sana ni swala la muda tu, ameshindwa kuwa na nidhamu kama boss wake