Harmonize kumtambulisha Anjella, Konde Gang

Harmonize ana unfinished business nyingi sana atakuwa kama daudi Bashite sasa sijui ni sifa anatafuta au ni nini kiukweli hata huyo Ibra bado sana ,Mara atangaze anafungua radio,Mara wasanii ambao kiukweli majina tu ndio yanasikika ila kazi bado..Diamond ni mjanja sana MTU pekee ambaye anasajili kwa uangalifu na kufikiri Mara miamia... Yeye harmo ni copy na kupaste basi sawa ngoja tuone mwisho.
 
Mtoto wa mjengoni huyo.
 
Tabia za kimama zibaki nyumbani tu.
 
Ungejua wewe na huyo jamaa na Numbisa mpo chama kimoja [emoji2] usingemshambulia ,au Kwa vile Mshana Jr alikuwa member wa jukwaa letu pendwa lililofutwa [emoji2]..... ant-WCB
@Mshana Jr ni babuuh yangu, hata km tupo team tofauti siwezi kumu attack, na km nitamu attack bas kwa staha sio km vile alivofanya mwenzangu.
But anyway ngoja nikae pembeni, niangalie tyuuh.
 
Naona kama nae anatembea kwenye njia ya yule wa kariakoo. Hafanyi jambo likakamilika. Ktk aliowasajili ni Ibra tu ndio anasikika.
 
Wahenga wanadai ulevi wa chochote kwa wastani, hata sungura anakula majani kwa wastani!
Sasa binadamu twala majani na wengine kuyachoma na kuvuta moshi kwa fujo! Sasa kasheshe yake ndiyo haya!
 
Mkulima hakatai kulima kwasababu fulani alilima kipindi kilichopita na kuvuna mabua....
 
Mkulima hakatai kulima kwasababu fulani alilima kipindi kilichopita na kuvuna mabua....
Sisi ndio tulikukaribisha hapa kijijini na tukakukodishia shamba ulime, kwahiyo ukiona tumelima ekari 5 na wewe usilime utaonekana unashindana na sisi.

Tena tunapendekeza uache kulima kabisa Kwasababu bila sisi hakuna utakachoweza.
 
Kuna wakati ruhusu kusikia usichokipenda pia kuna faida
 
Sisi ndio tulikukaribisha hapa kijijini na tukakukodishia shamba ulime, kwahiyo ukiona tumelima ekari 5 na wewe usilime utaonekana unashindana na sisi.

Tena tunapendekeza uache kulima kabisa Kwasababu bila sisi hakuna utakachoweza.
Elewa maana ya Mkulima kabla ya kushusha ngonjera zako hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…