konde music worldwide fan
Member
- Feb 4, 2021
- 45
- 38
T
Kwa mlo mmoja auAshtuke arudi alikotoka ?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mlo mmoja auAshtuke arudi alikotoka ?!
Mtoto wa mjengoni huyo.Huyo mwamba utakesha mkuu , yeye ni ant- Diamond na WCB Kwa ujumla.....ana chuki kali Sana Yan hata matusi ya nguoni anatukana , wakat hv vitu bi burudani tuu , stuation na wakat ndo vinaamua nan yupo juu , mpak sasa Kondeboy ameshindwa kabisa (miserably defeated) kukata kiu ya wanaochukia WCB.... Sku akiweza kuwa juu tutamsifia tuu, lakn hatuwez kumpamba mtu ambaye kiuhalisia kiwango cha ukubwa anachotaka kutuaminisha hana , Hali halisi inaonyesha hvyo
Oooh thus whyMtoto wa mjengoni huyo.
Mwenyewe anamini video ya Nandy kaivujisha Babutale,ili kumkomoa Ruge.Nimemuuliza Babutale kaipataje wakati video imerekodiwa na Nandy na Billnass hakunijibu,nikamuuliza tena au Nandy/Bilnass walimpa Babutale Kimya.Oooh thus why
Tabia za kimama zibaki nyumbani tu.Huyo mwamba utakesha mkuu , yeye ni ant- Diamond na WCB Kwa ujumla.....ana chuki kali Sana Yan hata matusi ya nguoni anatukana , wakat hv vitu ni burudani tuu , stuation na wakat ndo vinaamua nan yupo juu , mpak sasa Kondeboy ameshindwa kabisa (miserably defeated) kukata kiu ya wanaochukia WCB.... Sku akiweza kuwa juu tutamsifia tuu, lakn hatuwez kumpamba mtu ambaye kiuhalisia kiwango cha ukubwa anachotaka kutuaminisha hana , Hali halisi inaonyesha hvyo
Mmmmmh babuuuh baki hapa.Pazito hapa mjukuu wenye vijicho roho zitawauma
@Mshana Jr ni babuuh yangu, hata km tupo team tofauti siwezi kumu attack, na km nitamu attack bas kwa staha sio km vile alivofanya mwenzangu.
Mshauri afanye nini,Binafsi naona Harmonize anamtumia Angella kuwin sympathy ya umma and therefore kuwin fans.
Huyu binti ashtuke.
[emoji3][emoji3]sawa mjukuuMmmmmh babuuuh baki hapa.
Dabliyuusibi tunacoment wapi?
Mkulima hakatai kulima kwasababu fulani alilima kipindi kilichopita na kuvuna mabua....Joh Makini alianzisha Label inaitwa Makini Records akatambulisha na msanii anaitwa William anafanya ñini sasa hivi ??
Navy Kenzo walikuwa na Label iko wapi sasa hivi ??
Huyo Harmonize ni Darasa la 7 tu na elimu ya madrassa anaizidi midubwana mikubwa na ndevu juu, at least kwenye nchi ya watu 60M he is doing something.
Huyo Anjella alikuwa mtaani, kwahiyo aachwe tu huko mtaani ???
The world is full of dumb people. God help.
Sisi ndio tulikukaribisha hapa kijijini na tukakukodishia shamba ulime, kwahiyo ukiona tumelima ekari 5 na wewe usilime utaonekana unashindana na sisi.Mkulima hakatai kulima kwasababu fulani alilima kipindi kilichopita na kuvuna mabua....
Hivi waliosajiliwa Konde mbona hawafurukuti?Huu usajiri ni Charitable Act hauna faida kibiashara
Kuna wakati ruhusu kusikia usichokipenda pia kuna faidaMimi siyo mnafiki. Amchukue basi yeye Anjella amsaidie.
Anasema eti sikio kukizidi kichwa, kwahiyo huyo Harmonize anatakiwa aache kabisa muziki iki awafurahishe walimwengu kwamba bila WCB hakuna kitu.
Dunia siyo mali ya mtu, soko litaamua.
Always Soldier On [emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
Elewa maana ya Mkulima kabla ya kushusha ngonjera zako hapaSisi ndio tulikukaribisha hapa kijijini na tukakukodishia shamba ulime, kwahiyo ukiona tumelima ekari 5 na wewe usilime utaonekana unashindana na sisi.
Tena tunapendekeza uache kulima kabisa Kwasababu bila sisi hakuna utakachoweza.
Mpikie mumeo chai. KushapambazukaElewa maana ya Mkulima kabla ya kushusha ngonjera zako hapa