Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1.Konde Mgahawa.1.Konde Mgahawa.
2.Kuzindua album kwa mara ya pili Uhuru 27 may 2020.
3.Kuzindua album hiyo hiyo kwa siku 3 mfululizo Uhuru Stadium kuanzia 7 Nov 2020 chini ya usimamizi wa Efm.
4.Konde in da club tour.
5.Akatangaza show Kahama dec ktk Uwanja uleule waliopiga show Wasafi dec.
Zote project hazikufanikiwa.
Yeye mwenye hawapi wasanii wake nafasi kila siku anatoa nyimbo,hawapi nafasi wasanii wake wasikike kwani mwezi wa 12 to Jan kaachia nyimbo tatu,Jan mwanzo Ibra nae kaachia Ep yake yenye nyimbo tatu na mwezi wa nne anatimiza mwaka na nasikia Cheed na killy kabla ya mwezi wa sita wana achia album,now anamtoa msanii huyu ambaye sijajua amekaa nae kwa kipindi gani.
OK ngoja tuone muda utaongea,ila naona kijana yupo vizuri hela anayo kuhandle hizo projects kwa mpigo si swala dogo ,zisipo rudisha hela atajuta mbaya zaidi wasanii nao kama wakimkimbia manake wasanii wabongo hawa eleweki.
Umesahau Tandahimba FM , sa hv anamsajili Angela , katangaza pia ana show Addis ababa , .... master of failure1.Konde Mgahawa.
2.Kuzindua album kwa mara ya pili Uhuru 27 may 2020.
3.Kuzindua album hiyo hiyo kwa siku 3 mfululizo Uhuru Stadium kuanzia 7 Nov 2020 chini ya usimamizi wa Efm.
4.Konde in da club tour.
5.Akatangaza show Kahama dec ktk Uwanja uleule waliopiga show Wasafi dec.
Wants to outsmart his previous boss...but failed big time
Tatarehe!!!INVITEES ONLY
vs
INVITED ONLY
Haya tuone kama ada za wazazi wenu zilitumika ipasavyo.
Hata mimi naona hivyo anataka Ku-outsmart boss wake wa zamani.1.Konde Mgahawa.
2.Kuzindua album kwa mara ya pili Uhuru 27 may 2020.
3.Kuzindua album hiyo hiyo kwa siku 3 mfululizo Uhuru Stadium kuanzia 7 Nov 2020 chini ya usimamizi wa Efm.
4.Konde in da club tour.
5.Akatangaza show Kahama dec ktk Uwanja uleule waliopiga show Wasafi dec.
Wants to outsmart his previous boss...but failed big time
Ngojea tuone sisi yetu macho,muda mwalimu mzuri sana.Umesahau Tandahimba FM , sa hv anamsajili Angela , katangaza pia ana show Addis ababa , .... master of failure
Harmonise ni msanii mzuri ana kipaji na anajua kujituma, lakini kuna mahali alipotoshwa kisha naye akapotokaHata mimi naona hivyo anataka Ku-outsmart boss wake wa zamani.
Diamond leo na kesho ana show Ethiopia ktk jiji la Adis Ababa na yeye leo ametangaza ana show Adis Ababa May 2021 ila sito shangaa tarehe ikifika akakaa kimya kama ilivyokuwa Kahama.
Ila acha tuache muda utaongea tu
Imitations ndio zitamuangusha sana...asipite njia ya Mond hataweza ..Anahitaji management nzuri itakayoweza kujenga lebo ya Konde kivingine kabisa sio hii ya CnP kila kitu toka kwa MondUmesahau Tandahimba FM , sa hv anamsajili Angela , katangaza pia ana show Addis ababa , .... master of failure
Harmonise ni msanii mzuri ana kipaji na anajua kujituma, lakini kuna mahali alipotoshwa kisha naye akapotoka
Boss anayekunyanyua hana tofauti na mzazi anastahili heshima yake daima
Mtoto akikua huondoka nyumbani kwa wazazi ili akaanzishe naye familia yake..lakini huo mchakato lazima usiwe wa kukurupuka wala kushauriwa vibaya...utapotea
Once a parent always a parent...once a boss always a boss
Matukio kugongana ni kawaida,ila kwa Konde yeye ndiye anatembelea nyota ya WCB,kwani anaya tengeneza kwa kuangalia kalenda ya WCB.Harmonise ni msanii mzuri ana kipaji na anajua kujituma, lakini kuna mahali alipotoshwa kisha naye akapotoka
Boss anayekunyanyua hana tofauti na mzazi anastahili heshima yake daima
Mtoto akikua huondoka nyumbani kwa wazazi ili akaanzishe naye familia yake..lakini huo mchakato lazima usiwe wa kukurupuka wala kushauriwa vibaya...utapotea
Once a parent always a parent...once a boss always a boss
Kwani huwezi kujadili bila kutoa kauli nzuri.Nawahurumia sana uliowasaidia. Nadhani wanajuta hata kupokea msaada wako.
Kutoka kimuziki Tanzania ni kuwaje ??Harmonize hadi sasa amemsaidia nani kutoka kimuziki? Saa nyingine inabidi uwe realist tu. Ukweli ni kwamba kwamba ana kundi la wasanii ila waliotoka unawamulika kwa tochi.
Harmonise anahitajika kujipanga upya na kuacha kabisa copy n paste toka kwa Mond ..hatamuweza Mond kamweMatukio kugongana ni kawaida,ila kwa Konde yeye ndiye anatembelea nyota ya WCB,kwani anaya tengeneza kwa kuangalia kalenda ya WCB.
Mara nyingi WCB wakiwa na tukio lazima atajitahidi naye siku au wiki hiyo hiyo,afanye tukio lake mfano Zuchu na Ibra,Zuchu karibia miezi mitatu wanampigia promo wametangaza Tarehe ya utambulisho na yeye wiki hiyo akamtambulisha Ibra,show ya Kahama nayo hivyo hivyo.
Mbosso tokea Jan WCB wanaipigia promo album yake,mwishoni mwa mwezi wa pili wakatangaza tarehe rasmi ya kuachia album tar 13 March na yeye naye akaona hapo hapo amtambulishe huyo binti 11 March.
Mwisho wa siku yy na wasanii wake ndio wanaoumia kwani upande wa Marketing WCB wapo vizuri sana.
Joh Makini alianzisha Label inaitwa Makini Records akatambulisha na msanii anaitwa William anafanya ñini sasa hivi ??....anyway kila la heri kwake maana kama sio harmonize huyo Anjella tusingemjua....
Jomba inabidi ukapime pressure. Uandishi wako unaonesha unaumia sana Harmonize akisemwa. Alafu kwenye majibu yako unazunguka mbuyu baada ya kwenda moja kwa moja kwenye jibu.Joh Makini alianzisha Label inaitwa Makini Records akatambulisha na msanii anaitwa William anafanya ñini sasa hivi ??
Navy Kenzo walikuwa na Label iko wapi sasa hivi ??
Huyo Harmonize ni Darasa la 7 tu na elimu ya madrassa anaizidi midubwana mikubwa na ndevu juu, at least kwenye nchi ya watu 60M he is doing something.
Huyo Anjella alikuwa mtaani, kwahiyo aachwe tu huko mtaani ???
The world is full of dumb people. God help.
Kwanini usiende kuomba kazi ya marketing pale mjuba?Huu usajiri ni Charitable Act hauna faida kibiashara
Usiniquote tenaJomba inabidi ukapime pressure. Uandishi wako unaonesha unaumia sana Harmonize akisemwa. Alafu kwenye majibu yako unazunguka mbuyu baada ya kwenda moja kwa moja kwenye jibu.
Navy kenzo na joh makini hawana lundo la wasanii wanaotaka kuwatoa na hata kushindwa kwao hakujustify harmonize kushindwa.
Harmonize kuwa la 7 haina mahusiano na tunachozungumza hapa.
Anjella asaidiwe ila asaidiwe na mtu mwenye nia kweli sasa Harmonize ameset precedent kwa nani hadi tuamini anjela atafanikiwa na hatumiki kwa ajili ya kutafuta public attention ya Harmonize binafsi?
Huyo mwamba utakesha mkuu , yeye ni ant- Diamond na WCB Kwa ujumla.....ana chuki kali Sana Yan hata matusi ya nguoni anatukana , wakat hv vitu ni burudani tuu , stuation na wakat ndo vinaamua nan yupo juu , mpak sasa Kondeboy ameshindwa kabisa (miserably defeated) kukata kiu ya wanaochukia WCB.... Sku akiweza kuwa juu tutamsifia tuu, lakn hatuwez kumpamba mtu ambaye kiuhalisia kiwango cha ukubwa anachotaka kutuaminisha hana , Hali halisi inaonyesha hvyoJomba inabidi ukapime pressure. Uandishi wako unaonesha unaumia sana Harmonize akisemwa. Alafu kwenye majibu yako unazunguka mbuyu baada ya kwenda moja kwa moja kwenye jibu.
Navy kenzo na joh makini hawana lundo la wasanii wanaotaka kuwatoa na hata kushindwa kwao hakujustify harmonize kushindwa.
Harmonize kuwa la 7 haina mahusiano na tunachozungumza hapa.
Anjella asaidiwe ila asaidiwe na mtu mwenye nia kweli sasa Harmonize ameset precedent kwa nani hadi tuamini anjela atafanikiwa na hatumiki kwa ajili ya kutafuta public attention ya Harmonize binafsi?