nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
Cha Msama nadhaniDira TV iko king'amuzi gani?
Then it will be over with himHuyu bwana mdogo ametolewa pale kwa kurubuniwa na watu wazito sana na waliojipanga kimkakati ndani ya nchi na hata nje, atapiga sana show za Mkulu na kutamba zaidi ya sasa....hivyo atashangaza wengi na soon media zote zitaanza kupiga nyimbo zake.
Msama DecoderDira TV iko king'amuzi gani?
sahivi anagawa chakula bure kwa wanaume wa dar siku 360Huyu bwana mdogo ametolewa pale kwa kurubuniwa na watu wazito sana na waliojipanga kimkakati ndani ya nchi na hata nje, atapiga sana show za Mkulu na kutamba zaidi ya sasa....hivyo atashangaza wengi na soon media zote zitaanza kupiga nyimbo zake.
Kuna mkoa una watu wengi wenye pesa kuliko wanaume wa Dar!!?sahivi anagawa chakula bure kwa wanaume wa dar siku 360
StartimeDira TV iko king'amuzi gani?
wanataka kmtumia kweny kampen kuwapooza watu wa mtwara na koro show zaoHuyu bwana mdogo ametolewa pale kwa kurubuniwa na watu wazito sana na waliojipanga kimkakati ndani ya nchi na hata nje, atapiga sana show za Mkulu na kutamba zaidi ya sasa....hivyo atashangaza wengi na soon media zote zitaanza kupiga nyimbo zake.
...nasikia Mbeya/Kyela nako wameharibu kokoa-...waandae mpango mkakati pia wa kutopoza huku Kyelawanataka kmtumia kweny kampen kuwapooza watu wa mtwara na koro show zao
Hii ni roho ya kimasikini, muombee mema acha wivu na husdaThen it will be over with him
Kuna mkoa una watu wengi wenye pesa kuliko wanaume wa Dar!!?
Ila namsikitikia dogo sio entertainer kama blaza wake chibu asijepotea kwa game...maana hata ile kwangwaru chibu ndo aliua kama kwenye hii yope remix.... so anakazi bado maana kuimbaimba kila mtu anaimba labda aje na creativity mpyaHuyu bwana mdogo ametolewa pale kwa kurubuniwa na watu wazito sana na waliojipanga kimkakati ndani ya nchi na hata nje, atapiga sana show za Mkulu na kutamba zaidi ya sasa....hivyo atashangaza wengi na soon media zote zitaanza kupiga nyimbo zake.