Harmonize kununua Dira Tv ya Msama

Harmonize kununua Dira Tv ya Msama

nzagambadume

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2018
Posts
2,430
Reaction score
5,779
Jamani kijana anaonekana nyuma yake kuna mijitu yenye mipango mizito siyo mchezo wanaodhania ataanguka kizembe kama rich mavoko wanakosea aisey maana dogo ananunua dira tv ya msama muda si mrefu.
Hii bila shaka ni habari njema kwa wale wafanyakazi wa msama wanaotaabiaka mda mrefu bila mshahara.
 
Huyu bwana mdogo ametolewa pale kwa kurubuniwa na watu wazito sana na waliojipanga kimkakati ndani ya nchi na hata nje, atapiga sana show za Mkulu na kutamba zaidi ya sasa....hivyo atashangaza wengi na soon media zote zitaanza kupiga nyimbo zake.
 
Yasije kuwa kama yale yale ya alikiba maana alikiba nae toka aseme kuwa anaanzisha tv yake ni mwaka wa 3 sasa
Ila huyu huyu konde boy si nimesikia tetesi kuwa pale kwa zamaradi tv anahisa yake pia au ni maneno matupu.
 
Huyu bwana mdogo ametolewa pale kwa kurubuniwa na watu wazito sana na waliojipanga kimkakati ndani ya nchi na hata nje, atapiga sana show za Mkulu na kutamba zaidi ya sasa....hivyo atashangaza wengi na soon media zote zitaanza kupiga nyimbo zake.
sahivi anagawa chakula bure kwa wanaume wa dar siku 360
 
Huyu bwana mdogo ametolewa pale kwa kurubuniwa na watu wazito sana na waliojipanga kimkakati ndani ya nchi na hata nje, atapiga sana show za Mkulu na kutamba zaidi ya sasa....hivyo atashangaza wengi na soon media zote zitaanza kupiga nyimbo zake.
wanataka kmtumia kweny kampen kuwapooza watu wa mtwara na koro show zao
 
Huyu bwana mdogo ametolewa pale kwa kurubuniwa na watu wazito sana na waliojipanga kimkakati ndani ya nchi na hata nje, atapiga sana show za Mkulu na kutamba zaidi ya sasa....hivyo atashangaza wengi na soon media zote zitaanza kupiga nyimbo zake.
Ila namsikitikia dogo sio entertainer kama blaza wake chibu asijepotea kwa game...maana hata ile kwangwaru chibu ndo aliua kama kwenye hii yope remix.... so anakazi bado maana kuimbaimba kila mtu anaimba labda aje na creativity mpya
 
Back
Top Bottom