Sahihi kabisa.Ila namsikitikia dogo sio entertainer kama blaza wake chibu asijepotea kwa game...maana hata ile kwangwaru chibu ndo aliua kama kwenye hii yope remix.... so anakazi bado maana kuimbaimba kila mtu anaimba labda aje na creativity mpya
Mchezaji akitoka Manchester na kujiunga na arsenal ndiyo huwa mnasema amerubuniwa??Huyu bwana mdogo ametolewa pale kwa kurubuniwa na watu wazito sana na waliojipanga kimkakati ndani ya nchi na hata nje, atapiga sana show za Mkulu na kutamba zaidi ya sasa....hivyo atashangaza wengi na soon media zote zitaanza kupiga nyimbo zake.
Mshana itakuwa unavuta bhangi mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Cha Msama nadhani
Channel namba ngapi??Startime
Umeielewa thread yangu ama umekurupuka!?Hamna wanaume wa dar ndo wenye kila kitu hera, wanawake wazuri, magar makali, nyumba kali nk nyie endeleeeni kuwabeza tu time will tell.
huko labda wamwazime Sugu kipnd cha kampen na kumrudisha...nasikia Mbeya/Kyela nako wameharibu kokoa-...waandae mpango mkakati pia wa kutopoza huku Kyela
StartimeDira TV iko king'amuzi gani?
Mchezaji akitoka Manchester na kujiunga na arsenal ndiyo huwa mnasema amerubuniwa??
how old are you??Kama amevunja mkataba.
[emoji3]Cha Msama nadhani
Ujuaji wa ki Jf au siohow old are you??
reasoning imekaa kitoto mno.Ujuaji wa ki Jf au sio
Inategemea na swali lilikaaje, unauliza kitoto halafu unategemea ujibiwe kikubwa!reasoning imekaa kitoto mno.
Yameanza kutimia...Huyu bwana mdogo ametolewa pale kwa kurubuniwa na watu wazito sana na waliojipanga kimkakati ndani ya nchi na hata nje, atapiga sana show za Mkulu na kutamba zaidi ya sasa....hivyo atashangaza wengi na soon media zote zitaanza kupiga nyimbo zake.
Naam kama nilivyowahi kuandika mara baada ya bwana mdogo kuvunja mkataba...wengi walinipinga na kuona ni jambo ambalo haliwezekani ila sasa limetimia.Huyu bwana mdogo ametolewa pale kwa kurubuniwa na watu wazito sana na waliojipanga kimkakati ndani ya nchi na hata nje, atapiga sana show za Mkulu na kutamba zaidi ya sasa....hivyo atashangaza wengi na soon media zote zitaanza kupiga nyimbo zake.
Itakuwa ipo you tube.Dira TV iko king'amuzi gani?