Harmonize kununua Dira Tv ya Msama

Harmonize kununua Dira Tv ya Msama

Ila namsikitikia dogo sio entertainer kama blaza wake chibu asijepotea kwa game...maana hata ile kwangwaru chibu ndo aliua kama kwenye hii yope remix.... so anakazi bado maana kuimbaimba kila mtu anaimba labda aje na creativity mpya
Sahihi kabisa.
 
Huyu bwana mdogo ametolewa pale kwa kurubuniwa na watu wazito sana na waliojipanga kimkakati ndani ya nchi na hata nje, atapiga sana show za Mkulu na kutamba zaidi ya sasa....hivyo atashangaza wengi na soon media zote zitaanza kupiga nyimbo zake.
Mchezaji akitoka Manchester na kujiunga na arsenal ndiyo huwa mnasema amerubuniwa??
 
Hii ni JF hatuwezi kuzunguka bure ....kwamba hatujui kinachoendelea [emoji23][emoji23]
 
Huyu bwana mdogo ametolewa pale kwa kurubuniwa na watu wazito sana na waliojipanga kimkakati ndani ya nchi na hata nje, atapiga sana show za Mkulu na kutamba zaidi ya sasa....hivyo atashangaza wengi na soon media zote zitaanza kupiga nyimbo zake.
Yameanza kutimia...
Screenshot_20191018-110918.jpeg
 
Huyu bwana mdogo ametolewa pale kwa kurubuniwa na watu wazito sana na waliojipanga kimkakati ndani ya nchi na hata nje, atapiga sana show za Mkulu na kutamba zaidi ya sasa....hivyo atashangaza wengi na soon media zote zitaanza kupiga nyimbo zake.
Naam kama nilivyowahi kuandika mara baada ya bwana mdogo kuvunja mkataba...wengi walinipinga na kuona ni jambo ambalo haliwezekani ila sasa limetimia.
0a9f8b5c8a9dbd83bb437a64cb87cc41.jpeg
 
Back
Top Bottom