ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Diamond alimdis kwenye trakiKwahiyo ulimsema sio?
Wabongo hamkosagi maneno, akinenepa shida kukonda shida. Namshauri shilole apungue naeStress zinamkondesha, kuoa mwanamke sawa na bibi yako lazima upungue
Muacheni mmakonde jamani. Uzuri wa kitu na mtu upo machoni mwa "ntu na ntu"!ππππStress zinamkondesha, kuoa mwanamke sawa na bibi yako lazima upungue
Hivi kutoa sauti hiyo huwa anamaanisha:-Yaw Yaw.. Koh Koh Koh
Utambisho wa wavuta bang wa konde gengeHivi kutoa sauti hiyo huwa anamaanisha:-
-kupaliwa na moshi wa sigereti?
-kupaliwa na vumbi na pafyumu?
-kuifurahia sigereti?
-amemeza kinanda?
-au anaitangaza sigereti?
Naona kama kaifanya Signature yake kujitofautisha... Anaipenda balaaHivi kutoa sauti hiyo huwa anamaanisha:-
-kupaliwa na moshi wa sigereti?
-kupaliwa na vumbi na pafyumu?
-kuifurahia sigereti?
-amemeza kinanda?
-au anaitangaza sigereti?
"Nikilewa nashushia na ndumu"Hivi kutoa sauti hiyo huwa anamaanisha:-
-kupaliwa na moshi wa sigereti?
-kupaliwa na vumbi na pafyumu?
-kuifurahia sigereti?
-amemeza kinanda?
-au anaitangaza sigereti?
Bwashee ni Mbege ya Kibosho.....Hivi kutoa sauti hiyo huwa anamaanisha:-
-kupaliwa na moshi wa sigereti?
-kupaliwa na vumbi na pafyumu?
-kuifurahia sigereti?
-amemeza kinanda?
-au anaitangaza sigereti?
Kapiga kimbo moja tu anakohoa hivyo?Je angekuwa anapiga kila siku si angeugua kifaduro ati?ππππBwashee ni Mbege ya Kibosho.....
Unaweza kuta upo sawa na mimi, mademu wote tiliopita nao ni wale wa usiku Buguruni type. Mwache afaidi.Stress zinamkondesha, kuoa mwanamke sawa na bibi yako lazima upungue