Harmonize kusepa WCB: Alibaniwa matamasha mengi ya pesa ndefu kuliko Diamond

Harmonize kusepa WCB: Alibaniwa matamasha mengi ya pesa ndefu kuliko Diamond

Unambania msanii ambaye akipiga show una percentage yako HOW?

HOW unambania msanii ambaye umewekeza muda na hela yako ili upate faida?

Ila muda utaongea hizi nyingine chai.Uzuri wa JF unajifunga na maneno yako mwenyewe uliyo yaongea nyuma.

Hii thread yako tunayo muda ukifika tutakukumbusha.

Diamond kama angekuwa na mawazo kama hayo ya UBINAFSI leo hii kusingekuwa na WCB,wala Harmonize.
Amekurupuka tu akatunga chai yake hata bila kufikiria
 
Ngoja tuone hao kina Jembe ni Jembe na yule Manager wake Ww kike km watamfikisha level anazotaka
 
Hiki unachoandika hautamsaidia harmo hata kidogo utafanya atawatu wasiomchukia waanze kumchukia hiv diamond unamchukiliaje kwanza? kwann usimsaidie huyo harmo kufikisha viewers mil 1 ya ngoma yake ambayo Ina wiki 1 Sasa hiv ijafikisha atakusikika haisikiki kuliko kuongea uharo.Mwaka Jana harmo ndo katoa nyimbo nyingi kuliko boss wake hata mwaka huu before ajaondoka WCB katoa pia ngoma nyingi kuliko diamond mbona usemi kapendelewa?katika msanii ambaye diamond kainvest hela nyingi Sana ni harmonize kuliko msanii yoyote pale wcb ata kipindi diamond anamtoa harmo aliacha kutoa kazi zake mpaka akikishe harmo awe mkubwa mbona ulizungumzii hili hiv huyo angebaniwa angefika hatua kubwa?alafu unakuja kuandika story za kutunga zitakusaidia Nini wewe?
Hawa ndio wanazidi kumdidimiza huyu hamo
 
Wabongo kama tumerogwa hivi,ni watu tusiojielewa. Ingekuwa nchi za wenzetu hata hapa jirani tu kenya watu wangemsapot sana Diamond kwa mambo anayoyafanya ktk hii. Jambo moja dogo tu la kufikiria,huyo harmo ungemjua wewe bila Diamond?. Ona nyimbo za hao madogo wengine aliowakusanya,zinapigwa kila kona sio Tz tu hata nje ya Tz. Wewe unahisi wasingekuwa huko hizo nyimbo zao zingesikika hata mtu?. Hata kama una gereous na mtu isiyo na sababu,jaribu kujiuliza kwanza kwa nini namchukia? Ksbb tu amefanikiwa? Hiyo ndio gereous ya kipuuzi
 
Uongo mtupu na uchonganishi!

Kamwe mtu mwenye akili timamu awezi kuingia mkenge wa uchonganishi huu ambao mwisho wa siku nina hakika Harmonize ndiye atakaye poteza....

Hivi kweli mtu ambanie mtu ambaye akipiga show na yeye anapata chake? Hivi kweli ina ingia akilini mtu ambanie mtu ambaye alikubali kulipa gharama za kuvunja mkataba kama atakuwa tayari na hadi sasa kila show anayopiga bado Diamond na mameneja wanapata chao?

Hivi kweli kabisa muda na investiment iliyo fanywa na Diamond kwa Harmonize kweli Harmonize anaweza kuongea uongo huu dhidi ya Diamond na mameneja wake kweli? Nitakuwa wa mwisho kuamini haya na hakika kabisa Harmonize hatiweza kuongea haya labda amechanganyikiwa kabisa!

Hivi ni mara ngapi Diamond kalaumiwa ana mpendelea Harmonize pale WCB ?leo hii aje kichaa anasema kuwa alikuwa ana mbania kweli?

Hivi mwaka jana pale WCB kuna mtu alitoa nyimbo nyingi kuzidi Harmonize hadi mwaka huu mwezi wa sita?Kweli Harmonize anaweza ongea haya ya kubaniwa? Hakika huu ni uongo usio vaa chupi...,,

Hivi mnajua kuwa WCB wameona ni vyema wamuache awe huru kufanya atakavyo pamoja bado yuko kwenye mkataba na WCB na anapiga show na anafanya atakavyo pamoja mengi yako kinyume na mkataba wake? Hivi kweli wangekuwa wabaya sasa hivi si tungelikuwa kwenye mahakama au Basata?

Harmonize ameomba kuvunja mkataba na WCB na watu wamekubali na hadi sasa ajarudi kuja kuongea na watu waneona wavumilie tuu na kumsubiri kweli bado kuna kichaa anaona hawa watu ni wabaya?


Ushauri wangu tena kwa Harmonize kama umeamua kuondoka usirudi nyuma na wala usikubali kugombanishwa na WCB hawa watu sio wabaya na hawawezi kuwa wabaya....wamekutoa mbali sana umepiga hatua na umeona una hitaji kupiga hatua zaidi basi ondoka vizuri kama ulivyo ingia ..Usikubali kabisa maneno ya watu kuwa hawa watu ni wabaya maana hata shetani atakushangaa kabisa.


Cha msingi na kazi uliyo nayo ni kuuthibitishia umma unataka kufika sehemu fulani au umefika sehemu fulani ambayo WCB hawakukufikisha kabisa!
 
Ulichokiandika ni sawa na Baby kumbania Weezy ndani ya CMG kisa Weezy atapata umaarufu zaidi ya Baby atapata pesa nyingi kuliko baby.
Baby a.k.a Birdman
Kwa ufupi umeandika takataka.
 
Mkuu wewe una nafasi gani pale WCB au source ya info zako ni ipi??
Maana wabongo nnawajua kwa conspiracy!!
M-bongo anaweza kukwambia Tz ina silaha za siri ambazo nchi yoyote haina na haijui.. lakini ukimuuliza wewe umejuaje siri hizo balaa ndo linaanzia hapo...
🙆🏽‍♂️🙆🏽‍♂️🙆🏽‍♂️
 
Ulichokiandika ni sawa na Baby kumbania Weezy ndani ya CMG kisa Weezy atapata umaarufu zaidi ya Baby atapata pesa nyingi kuliko baby.
Baby a.k.a Birdman
Kwa ufupi umeandika takataka.
Hata me mtoa mada amenishangaza sijui hata masuala ya mziki anayajua?si Bora Ange edit kwanza kuliko kupost upuuzi
 
Amani bila pesa. Kuna amani hapo???

Unataka asiwe na pesa?
Wapi uliona ana pesa akichuma kwenye mti?
Mnapenda watu wawe watumwa wasijitambue.. wengi na madunguli mnawafunika wasijitambue..
 
Wabongo kama tumerogwa hivi,ni watu tusiojielewa. Ingekuwa nchi za wenzetu hata hapa jirani tu kenya watu wangemsapot sana Diamond kwa mambo anayoyafanya ktk hii. Jambo moja dogo tu la kufikiria,huyo harmo ungemjua wewe bila Diamond?. Ona nyimbo za hao madogo wengine aliowakusanya,zinapigwa kila kona sio Tz tu hata nje ya Tz. Wewe unahisi wasingekuwa huko hizo nyimbo zao zingesikika hata mtu?. Hata kama una gereous na mtu isiyo na sababu,jaribu kujiuliza kwanza kwa nini namchukia? Ksbb tu amefanikiwa? Hiyo ndio gereous ya kipuuzi


Mkuu ni "Jealous "
 
Mond ana roho mbaya sana yule jamaa kila kitu anataka awe yy tu
 
Kutoka fethibuku:

Sote tunajua diamond ni mwenyekiti wa Wcb na pia ni msanii.

Hivi vitu ni kitu kibaya endapo msanii mwenye hivi vyeo ana kundi / label yenye wasanii wazuri.

Binadamu tuna wivu, ndio asili yetu, ndivyo tulivyoumbwa, huwezi kupigana na nafsi yako.

Diamond kwa sasa gharama zake za kufanya show zimeshuka, sio kama zamani alipokuwa anapewa milioni 150 kwa show nje ya nchi, kwa sasa mapromota wengi wapo tayari kutoa pesa ya kawaida tu.

Mziki ukaja pale Diamond anpata bookings za show pungufu kuliko zamani na mapromota wakashusha dau lake la milioni 150 mpaka milioni 50, Huku upande wa pili Harmonize anasumbuliwa vibaya mno kufanya shows kwa gharama kubwa sana pengine kuzidi hata Diamond.

Hapa ndipo mzozo ulipoanza sasa, Diamond ndio Mwenyekitu wa wcb, Kwa wivu kwamba Harmonize anapata booking za show kibao kwa pesa ndefu, Diamond akaanza kucheza michezo michafu kwa kuwaambia mapromota kwamba harmonize yupo busy sana ili harmonzie afanye show chache kuzidi yeye na hata ikitokea booking imekubaliwa basi ilikuwa ni show za kwaida, Yale tamasha yaa wasanii wakubwa afrika ambayo Diamond hakuwepo ila Harmonize alikuwa anaombwa awepo ndio yaliyopigwa chini, Ni matamasha yanyoongeza hadhi ya msanii na ilikuwa hatari kwa Diamond.

Diamond ni CEO wa wasafi hivyo ana nguvu kubwa kutoa maamuzi, ila kibaya zaidi nae alikuwa msanii, Ilikuwa ikitokea kuna mwaliko wa kufanya show ikitokea tenda kutoka kamouni fulani wakitaka msanii moja wa wcb aende kupiga show marekani, basi hapo diamond kwa vile yeye alikuwa anatoa maamuzi na pia ni msanii, alikuwa anajipendelea kwa kujichagua, ila ikafika kipindi sasa hadi makampuni yanamkubali harmo aende kupiga show kuliko diamond aliekuwa analazimisha aende yeye, hapa kulikuwa na mutano sio kitoto.

Huwezi kumziba panya kwa mkate, Dogo harmonize kila akiachia ngoma ni jiwa na inapata views kibao huko youtube, Hapa maji yanamfikia boss shingoni sasa, boss akaanza kutoa ngoma kwa fujo na promo kibao na kiki ila ngoma ina kuwa kama big g haikai wiki ishazimia, hali ikawa mbaya boss akaona atembelee nyota ya konde boy waktaoa kwangaru ambayo hadi sasa ina views milioni 50 na ushehe, kodne boy hana kiki wala nini akitoa ngoma ila zinabamba balaa hadi ile ya fire waist ndio ilihusika wengi kumjua mzee wa likwidi.

Ukweli kujifichua ni swala la muda tu, Kimbembe kikaja sasa Harmo taarifa zikampitia kwamba kuna shows zake za hadhi ya juu zenye mpunga mrefu zilikuwa zilipigwa chini , ukichanganya na kubaniwa kutoa ngoma zake zilizorundikana studia ndio hapo sasa mmakonde akaomua kumchana boss,

Kwa kuwa konde boy alikuwa anafanyiwa unyama huu ikabidi aende kwa boss kumpa makavu, hapa ndipo vugu vugu la harmonize kuondoka likaanza kusambaa mitandaoni, Konde boy kwa roho safi hili kipindi akawa anafanya udiplomasia na boss wake kama wanaweza kwenda sambamba kuanzia muda huo bila kuendelea hii michezo michafu, hii ikawa kama vile adui yako njaa inamuuma we unampelekea chakula ukidhani kwamba atakuona mwema kumbe ndio kwanza umetia mafuta kwenye moto, hapa ikabidi boss akiri tu kwamba hawawezi kuendelea kazi kwa usalama wake maana konde boy anakuja kwa spidi ya radi atamfunika hadi boss wake kwenye label yake.

Konde boy hana kosa lolote, alikiri kabisa boss wake D ni kama baba yake, hata baba hapendagi mtoto wake azeekee nyumbani.
Nakumbuka maneno ya Rich Mavoko wanambania wanajua bila ya hivyo atamfunika bosi wake, hivi bila ya aggressive push na promo ya WCB unadhani hizo You Tube views za nyimbo za Harmonise zingeishia wapi?
Time will tell, msije baadaye mkarudi na threads za Harmonise anafanyiwa figisu ndiyo maana anaporomoka kimuziki, manake hamjui ya kuwa alishakataliwa(BSS) na kuambiwa hana kipaji akatafute shughuli nyingine ya kufanya. Huyo mnayemtwisha gunia la lawama ndiyo alimshika mkono mpaka hapo alipofika.
 
Uongo mtupu na uchonganishi!

Kamwe mtu mwenye akili timamu awezi kuingia mkenge wa uchonganishi huu ambao mwisho wa siku nina hakika Harmonize ndiye atakaye poteza....

Hivi kweli mtu ambanie mtu ambaye akipiga show na yeye anapata chake? Hivi kweli ina ingia akilini mtu ambanie mtu ambaye alikubali kulipa gharama za kuvunja mkataba kama atakuwa tayari na hadi sasa kila show anayopiga bado Diamond na mameneja wanapata chao?

Hivi kweli kabisa muda na investiment iliyo fanywa na Diamond kwa Harmonize kweli Harmonize anaweza kuongea uongo huu dhidi ya Diamond na mameneja wake kweli? Nitakuwa wa mwisho kuamini haya na hakika kabisa Harmonize hatiweza kuongea haya labda amechanganyikiwa kabisa!

Hivi ni mara ngapi Diamond kalaumiwa ana mpendelea Harmonize pale WCB ?leo hii aje kichaa anasema kuwa alikuwa ana mbania kweli?

Hivi mwaka jana pale WCB kuna mtu alitoa nyimbo nyingi kuzidi Harmonize hadi mwaka huu mwezi wa sita?Kweli Harmonize anaweza ongea haya ya kubaniwa? Hakika huu ni uongo usio vaa chupi...,,

Hivi mnajua kuwa WCB wameona ni vyema wamuache awe huru kufanya atakavyo pamoja bado yuko kwenye mkataba na WCB na anapiga show na anafanya atakavyo pamoja mengi yako kinyume na mkataba wake? Hivi kweli wangekuwa wabaya sasa hivi si tungelikuwa kwenye mahakama au Basata?

Harmonize ameomba kuvunja mkataba na WCB na watu wamekubali na hadi sasa ajarudi kuja kuongea na watu waneona wavumilie tuu na kumsubiri kweli bado kuna kichaa anaona hawa watu ni wabaya?


Ushauri wangu tena kwa Harmonize kama umeamua kuondoka usirudi nyuma na wala usikubali kugombanishwa na WCB hawa watu sio wabaya na hawawezi kuwa wabaya....wamekutoa mbali sana umepiga hatua na umeona una hitaji kupiga hatua zaidi basi ondoka vizuri kama ulivyo ingia ..Usikubali kabisa maneno ya watu kuwa hawa watu ni wabaya maana hata shetani atakushangaa kabisa.


Cha msingi na kazi uliyo nayo ni kuuthibitishia umma unataka kufika sehemu fulani au umefika sehemu fulani ambayo WCB hawakukufikisha kabisa!
Jembe ni Jembe ndo kamlisha hayo maneno harmonize, kuna Matamasha akina Jembe ni Jembe walikuwa wanaandaa pamoja na Yale ya fiesta , harmonize alikuwa akihtajika Ila WCB wanaweka ngumu Kwa sababu walikuwa hawafiki bei, show ya south Sudan Jembe aliplay part pale, na huko ndo alimjaza upepo dogo, pia kitendo cha diarmond kuingilia ft ya Davido kwenye wimbo wa Kwangwaruu, na kutaka ashirikishwe yeye japo hakulazimisha pia ilimuumiza dogo...twendeni taratibu
 
Kutoka fethibuku:

Sote tunajua diamond ni mwenyekiti wa Wcb na pia ni msanii.

Hivi vitu ni kitu kibaya endapo msanii mwenye hivi vyeo ana kundi / label yenye wasanii wazuri.

Binadamu tuna wivu, ndio asili yetu, ndivyo tulivyoumbwa, huwezi kupigana na nafsi yako.

Diamond kwa sasa gharama zake za kufanya show zimeshuka, sio kama zamani alipokuwa anapewa milioni 150 kwa show nje ya nchi, kwa sasa mapromota wengi wapo tayari kutoa pesa ya kawaida tu.

Mziki ukaja pale Diamond anpata bookings za show pungufu kuliko zamani na mapromota wakashusha dau lake la milioni 150 mpaka milioni 50, Huku upande wa pili Harmonize anasumbuliwa vibaya mno kufanya shows kwa gharama kubwa sana pengine kuzidi hata Diamond.

Hapa ndipo mzozo ulipoanza sasa, Diamond ndio Mwenyekitu wa wcb, Kwa wivu kwamba Harmonize anapata booking za show kibao kwa pesa ndefu, Diamond akaanza kucheza michezo michafu kwa kuwaambia mapromota kwamba harmonize yupo busy sana ili harmonzie afanye show chache kuzidi yeye na hata ikitokea booking imekubaliwa basi ilikuwa ni show za kwaida, Yale tamasha yaa wasanii wakubwa afrika ambayo Diamond hakuwepo ila Harmonize alikuwa anaombwa awepo ndio yaliyopigwa chini, Ni matamasha yanyoongeza hadhi ya msanii na ilikuwa hatari kwa Diamond.

Diamond ni CEO wa wasafi hivyo ana nguvu kubwa kutoa maamuzi, ila kibaya zaidi nae alikuwa msanii, Ilikuwa ikitokea kuna mwaliko wa kufanya show ikitokea tenda kutoka kamouni fulani wakitaka msanii moja wa wcb aende kupiga show marekani, basi hapo diamond kwa vile yeye alikuwa anatoa maamuzi na pia ni msanii, alikuwa anajipendelea kwa kujichagua, ila ikafika kipindi sasa hadi makampuni yanamkubali harmo aende kupiga show kuliko diamond aliekuwa analazimisha aende yeye, hapa kulikuwa na mutano sio kitoto.

Huwezi kumziba panya kwa mkate, Dogo harmonize kila akiachia ngoma ni jiwa na inapata views kibao huko youtube, Hapa maji yanamfikia boss shingoni sasa, boss akaanza kutoa ngoma kwa fujo na promo kibao na kiki ila ngoma ina kuwa kama big g haikai wiki ishazimia, hali ikawa mbaya boss akaona atembelee nyota ya konde boy waktaoa kwangaru ambayo hadi sasa ina views milioni 50 na ushehe, kodne boy hana kiki wala nini akitoa ngoma ila zinabamba balaa hadi ile ya fire waist ndio ilihusika wengi kumjua mzee wa likwidi.

Ukweli kujifichua ni swala la muda tu, Kimbembe kikaja sasa Harmo taarifa zikampitia kwamba kuna shows zake za hadhi ya juu zenye mpunga mrefu zilikuwa zilipigwa chini , ukichanganya na kubaniwa kutoa ngoma zake zilizorundikana studia ndio hapo sasa mmakonde akaomua kumchana boss,

Kwa kuwa konde boy alikuwa anafanyiwa unyama huu ikabidi aende kwa boss kumpa makavu, hapa ndipo vugu vugu la harmonize kuondoka likaanza kusambaa mitandaoni, Konde boy kwa roho safi hili kipindi akawa anafanya udiplomasia na boss wake kama wanaweza kwenda sambamba kuanzia muda huo bila kuendelea hii michezo michafu, hii ikawa kama vile adui yako njaa inamuuma we unampelekea chakula ukidhani kwamba atakuona mwema kumbe ndio kwanza umetia mafuta kwenye moto, hapa ikabidi boss akiri tu kwamba hawawezi kuendelea kazi kwa usalama wake maana konde boy anakuja kwa spidi ya radi atamfunika hadi boss wake kwenye label yake.

Konde boy hana kosa lolote, alikiri kabisa boss wake D ni kama baba yake, hata baba hapendagi mtoto wake azeekee nyumbani.
Aliki amekulipa shilingi ngapi?
 
Back
Top Bottom