Harmonize kutumbuiza Yanga Day

mwakani naolewa

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
148
Reaction score
426
klabu ya Yanga imemtangaza msanii harmonize kutumbuiza katika kilele cha siku ya wananchi tarehe august4 siku ya jumapili na tayari msanii huyo ametambulisha nyimbo yake mpya atakayo tumbuiza siku hiyo ya wananchi. Huyu ni miongoni mwa wasanii wengi watakao tumbuiza siku hiyo, huu ni ushahidi kua timu ya yanga inaushirikiano mzuri na wasanii wakubwa Tanzania.
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…