PANTHERA LEO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 2,307
- 3,437
Huyu dogo ameshaanza kupotea na kuonyesha makucha yake halisi kwenye jamii, Wiki chache zilizopita alikumbwa na kashfa ya kuwadharau waandishi wa habari wa Kenya, kitu cha kushangaza hakutoa tamko lolote wala kuomba msamaha
Siku za karibuni ametoa wimbo wa "Uno", wimbo ambao umefutwa huko Youtube kwa sababu ameiba beat ya msanii wa kenya aitwae "King Kaka"
Producer wa wimbo wa King Kaka amesema alimuonya Harmonize kuhusu wimbo huo lakini aliambulia "BLOCK" Producer huyo amesema alikuwa tayari kuongea na Harmonize lakini Harmonize alionyesha kiburi na dharau na hakutaka kumsikiliza.
Pia taarifa zilizo chini ya kapeti zinasema. Kuna baadhi ya media zimemuonya Harmonize kumtaja Diamond katika nyimbo zake, lakini Harmonize hajatilia maanani kama alivyofanya kwenye wimbo wa "Uno" amemtaja tena Diamond kwenye wimbo wake mpya unaitwa "Kushoto Kulia".
Harmonize pia alikataa kushiriki kwenye tamasha la Wasafi Festival alilo alikwa na label yake ya zamani
.....
Watu waliopo nyuma ya Harmonize wanampoteza kwa kumpa kiburi na dharau pasipo yeye mwenyewe kujua siku akifilisika hao wote watamkimbia
Siku za karibuni ametoa wimbo wa "Uno", wimbo ambao umefutwa huko Youtube kwa sababu ameiba beat ya msanii wa kenya aitwae "King Kaka"
Producer wa wimbo wa King Kaka amesema alimuonya Harmonize kuhusu wimbo huo lakini aliambulia "BLOCK" Producer huyo amesema alikuwa tayari kuongea na Harmonize lakini Harmonize alionyesha kiburi na dharau na hakutaka kumsikiliza.
Pia taarifa zilizo chini ya kapeti zinasema. Kuna baadhi ya media zimemuonya Harmonize kumtaja Diamond katika nyimbo zake, lakini Harmonize hajatilia maanani kama alivyofanya kwenye wimbo wa "Uno" amemtaja tena Diamond kwenye wimbo wake mpya unaitwa "Kushoto Kulia".
Harmonize pia alikataa kushiriki kwenye tamasha la Wasafi Festival alilo alikwa na label yake ya zamani
.....
Watu waliopo nyuma ya Harmonize wanampoteza kwa kumpa kiburi na dharau pasipo yeye mwenyewe kujua siku akifilisika hao wote watamkimbia