Harmonize Kwangwaru 56Mil views, Diamond Nana 56Mil Views. Soon Harmonize will take the Goat crown

Hivi who cares nani ni namba moja au tatu kama wewe unapenda muziki wa fulani good luck to you.., na si kweli anayejua zaidi kila kazi anayofanya ni nzuri na vice versa...
 
Upande huu wewe ukiwa unaangalia views za video tulizo sahau huku upande mwingine harmonize unaemsema ni no1 ajiapange kwani shilingi imepinduliwa kuwania nafasi ya pili

Maana nafasi ya kwanza ni W
Hapa nazungumzia yule msanii chipkizi anaekuja kwa kasi ya kisulisuli Mariooo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti goat pheeewwww hamna goat kati ya hao wawili. Nyimbo zao huwa zinadumu wiki mbili tu kwisha habari zao
 
Kma inavoonekana, muda c mwingi Wimbo wa Harmonize msanii namba moja Tanzania utakuwa ni The most viewed Tanzanian song of all time, na ambapo siku hiyo harmonize ndo atakuwa msanii mkali zaidi kuwahi kutokea katika nchi hii.

asante
kama unamaanisha taji la mbuzi(goat) basi uko sawa lakini kama unamaanisha Greatest of all time basi nadhan mirembe wamefunga shule na wanafunzi wao wako mitaani
 
Mtoa mada utakuwa anatatizo la ubongo hiyo ngoma amemshirikisha Nani? Mpaka uje utambe humu.
 
Kma inavoonekana, muda c mwingi Wimbo wa Harmonize msanii namba moja Tanzania utakuwa ni The most viewed Tanzanian song of all time, na ambapo siku hiyo harmonize ndo atakuwa msanii mkali zaidi kuwahi kutokea katika nchi hii.

asante
Akishachukua tuzo zaidi ya 100+ na kuwa na nyimbo zaid ya 20+ zenye views 40+ kwenda juu tunmpatia crown bila tabu yeyote na akiwa na nyimbo yenye views 50+ aliyoimba singe au bila diamond kuwemo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati hata kwa mbosso ajafikia bado

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…