Kma inavoonekana, muda c mwingi Wimbo wa Harmonize msanii namba moja Tanzania utakuwa ni The most viewed Tanzanian song of all time, na ambapo siku hiyo harmonize ndo atakuwa msanii mkali zaidi kuwahi kutokea katika nchi hii.
asante
Msanii nchi hii alikuwa Captain John Komba tu, hawa wengine hata waimbe nini mimi siwezi kusikiliza.
Msanii nchi hii alikuwa Captain John Komba tu, hawa wengine hata waimbe nini mimi siwezi kusikiliza.
Wajing nyinyNamba moja Tanzania ipi? Wajinga nyinyi
Hiyo harmoniz ni featuring yeye mwenyew au ? Mondi huwez kumkwepa hata kidogo
Alivyopiga 50M viwers harmo alimshukuru sana Simba kule instagram...
Diva the bawse kawaaribu hadi baadh ya wanaume wenzetu...
#Wajinga Nyinyi[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe! Twende taratibu! Mbaraka Mwishehe Mwarukwa na Marijan Rajabu hukupatapo kuwaskia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unauhakika au unaropoka tuDiamond hana nyimbo hata moja iliyofikisha views mil 40 alioimba peke ake
Huyu numbisa anastress za maisha kwa diamondDomo tulia dawa ikuingie. Ushajileta kwa fekero ee
Bila mondi ile nyimbo ingekuwa kama UnoKashirikishwa uyo musukule wako domo kila anapoona ngoma kali anawaamulisha ashirilishwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa mada ni kichaa mkongweKma inavoonekana, muda c mwingi Wimbo wa Harmonize msanii namba moja Tanzania utakuwa ni The most viewed Tanzanian song of all time, na ambapo siku hiyo harmonize ndo atakuwa msanii mkali zaidi kuwahi kutokea katika nchi hii.
asante
nana ina 56 kaimba na flavour.
Sikomi ambayo kaifanya pekee yake Ina viewers million 40.nana ina 56 kaimba na flavour.
Endelee kulala ndoto yako inaweza ikatimia.JF hii thread yako utaikataa.Kma inavoonekana, muda c mwingi Wimbo wa Harmonize msanii namba moja Tanzania utakuwa ni The most viewed Tanzanian song of all time, na ambapo siku hiyo harmonize ndo atakuwa msanii mkali zaidi kuwahi kutokea katika nchi hii.
asante
Hiyo nyimbo ya mkongoEndelee kulala ndoto yako inaweza ikatimia.JF hii thread yako utaikataa.
View attachment 1347672
Ni kweli ni ya mkongo ila Diamond ana impact kubwa kwenye hiyo nyimbo,mbona ile original haijafikia hizo viewsHiyo nyimbo ya mkongo