Harmonize Kwangwaru 56Mil views, Diamond Nana 56Mil Views. Soon Harmonize will take the Goat crown

Harmonize Kwangwaru 56Mil views, Diamond Nana 56Mil Views. Soon Harmonize will take the Goat crown

Huku Ni Kumkosea Heshima Mondi, Knaan Ndo Msanii Mwenye Wimbo Ulotazamwa Zaid Youtube Kwa Nijeria 184m Lakin Huwezi Kumlinganisha Na Davido....

huko dunian kwenyewe msanii mkubwa zaidi kwa sasa chris brown hayupo hata kwenye 15 bora yavideo zilizoangaliwa zaidi duniani....

kwa sasa huyo harmo wenu hata atoe ngoma gan or amshirikishe nan views 10M ningum kufikisha na mkibisha mda utawaeleza

UFIKE MDA WABONGO TUACHE UNAFIKI AJILI YA CHUKI ZETU
nb:kabla hujapost google kwanza na sio kumsikiliza huyo bibi kizee wa mawingu
 
Kma inavoonekana, muda c mwingi Wimbo wa Harmonize msanii namba moja Tanzania utakuwa ni The most viewed Tanzanian song of all time, na ambapo siku hiyo harmonize ndo atakuwa msanii mkali zaidi kuwahi kutokea katika nchi hii.

asante
Screenshot_20191222-061821.png
 
Msanii nchi hii alikuwa Captain John Komba tu, hawa wengine hata waimbe nini mimi siwezi kusikiliza.

Pale ambapo hajui anachangia vitu ambavyo wajukuu zake ndiyo wana uwezo wa kuchangia; ukiwa na umri wa kushabikia Haya mambo Captain John Ndo alikuwa msanii anayesifika, ndiyo maana kabaki kichwani kwako!

Sio kwamba uwaelewi wasanii wa sasa. Ni kwamba Umeni wako wa Kuwa elewa umepitq ndo maana ule stack kwa Komba, ndipo akili hako ya uta Mbezi ilikomwa hapo!

Na wewe mtoa Mada, usishangilie sana Mambo ya wenzako, na wewe weka record kwenye mambo yako!
 
Namba moja Tanzania ipi? Wajinga nyinyi

Hiyo harmoniz ni featuring yeye mwenyew au ? Mondi huwez kumkwepa hata kidogo

Alivyopiga 50M viwers harmo alimshukuru sana Simba kule instagram...

Diva the bawse kawaaribu hadi baadh ya wanaume wenzetu...

#Wajinga Nyinyi[emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
Wajing nyiny

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza kuwa na point. ila usisahau kuna walioiangalia hiyo video kwa sababu ya Diamond. Ingekuwa idadi.yake inajulikana unadhani hizo 56 milioni zingebaki ngapi!? Sidhani kama ubishi huu unasaidia kukuza muziki.
 
Kma inavoonekana, muda c mwingi Wimbo wa Harmonize msanii namba moja Tanzania utakuwa ni The most viewed Tanzanian song of all time, na ambapo siku hiyo harmonize ndo atakuwa msanii mkali zaidi kuwahi kutokea katika nchi hii.

asante
Mtoa mada ni kichaa mkongwe
 
Kma inavoonekana, muda c mwingi Wimbo wa Harmonize msanii namba moja Tanzania utakuwa ni The most viewed Tanzanian song of all time, na ambapo siku hiyo harmonize ndo atakuwa msanii mkali zaidi kuwahi kutokea katika nchi hii.

asante
Endelee kulala ndoto yako inaweza ikatimia.JF hii thread yako utaikataa.
82821290_256587341974763_8405444008429495270_n.jpg
 
Back
Top Bottom