ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
- Thread starter
- #21
Diamond hana nyimbo hata moja iliyofikisha views mil 40 alioimba peke akeNaona umempa jibu takatifu mtoa mada.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diamond hana nyimbo hata moja iliyofikisha views mil 40 alioimba peke akeNaona umempa jibu takatifu mtoa mada.
and so shall beKma inavoonekana, muda c mwingi Wimbo wa Harmonize msanii namba moja Tanzania utakuwa ni The most viewed Tanzanian song of all time, na ambapo siku hiyo harmonize ndo atakuwa msanii mkali zaidi kuwahi kutokea katika nchi hii.
asante
Penny mbona una hasira sana na huyu mtuEti goat pheeewwww hamna goat kati ya hao wawili. Nyimbo zao huwa zinadumu wiki mbili tu kwisha habari zao
Penny mbona una hasira sana na huyu mtu
Ipo inaitwa sikomiDiamond hana nyimbo hata moja iliyofikisha views mil 40 alioimba peke ake
Numbisa me nakupendaga Sana hasa ukipanic unakuaga unanifurahisha Sana.Domo tulia dawa ikuingie. Ushajileta kwa fekero ee
Numbisa me nakupendaga Sana hasa ukipanic unakuaga unanifurahisha Sana.
Hayo maneno mnakuwaga mnayatoa wapi? Fekero maana yake Nini?Wala sijapanic,boss wako kapanic ndo maana kaja na fekero
Hayo maneno mnakuwaga mnayatoa wapi? Fekero maana yake Nini?
Kashirikishwa uyo musukule wako domo kila anapoona ngoma kali anawaamulisha ashirilishweHiyo kwangaru kaimba na nani?
Hiyo vetting ya kumweka Harmonize namba moja kwa rank uliifanya kwa mahaba yako binafsi ila tambua tu kwamba Diamond ni baba lao,na hata huyo unayempigia upatu anamheshimu
Upo vizuri alafu unajiamini nakuonaga unavyowahandle wanaume wanaokushambulia humu jamvini.Anzisha uzi wadau watakujulisha maana yake
Wewe utakuwa unamatatizo ya akili si bure.Kashirikishwa uyo musukule wako domo kila anapoona ngoma kali anawaamulisha ashirilishwe
Sent using Jamii Forums mobile app
tuma goal la grizman dada nasikia kapiaga bonge ya goalAnzisha uzi wadau watakujulisha maana yake
Hiyo vetting ya kumweka Harmonize namba moja kwa rank uliifanya kwa mahaba yako binafsi ila tambua tu kwamba Diamond ni baba lao,na hata huyo unayempigia upatu anamheshimu
Namba moja Tanzania ipi? Wajinga nyinyi
Hiyo harmoniz ni featuring yeye mwenyew au ? Mondi huwez kumkwepa hata kidogo
Alivyopiga 50M viwers harmo alimshukuru sana Simba kule instagram...
Diva the bawse kawaaribu hadi baadh ya wanaume wenzetu...
#Wajinga Nyinyi[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app