herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 1,967
- 3,212
ipo kwenye account ya nan..? Vp Nana nayo ni ya mr frevourHiyo nyimbo ya mkongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ipo kwenye account ya nan..? Vp Nana nayo ni ya mr frevourHiyo nyimbo ya mkongo
ipo kwenye account ya nan..? Vp Nana nayo ni ya mr frevourHiyo nyimbo ya mkongo
Nana ya nani? Na ww mwanzoni ulisemaje?Hiyo nyimbo ya mkongo
Alipo mond viewers wapoNana ya nani? Na ww mwanzoni ulisemaje?
Alipo mond viewers hawakosekan kaangalie yope original ina viewers wangapi or yope org kwenye account ya Inosbnana ina 56 kaimba na flavour.
Alipo mond viewers hawakosekan kaangalie yope original ina viewers wangapi or yope org kwenye account ya Inosb
Huyo uliyemsema wewe nitajie nyimbo moja aliyo mzidi Mondi ambayo kaimba peke yake?Anategemea nyimbo za watu na collaboration
siyo wao ndo wanamtegemea mond...?Anategemea nyimbo za watu na collaboration
Me naona Kama wewe ndo ujitoa jasho
Uliza ya NANI?...kaimba na nan ndo nnHiyo kwangaru kaimba na nani?
Ni ya diamond ila Mr fleva ndiyo kaipaisha ile nyimbooipo kwenye account ya nan..? Vp Nana nayo ni ya mr frevour
Hii ni ukweli mkuu nyimbo nyingi alizoimba mwenyewe diamond, mfano Eneka ina views 12M, kitorondo 18M, the One 19M, jibebe 16 tena hii wameimba diamond, mboso, laValava,Anategemea nyimbo za watu na collaboration
Mbona sikomi Ina viewers 39m.Ni ya diamond ila Mr fleva ndiyo kaipaisha ile nyimboo
Hii ni ukweli mkuu nyimbo nyingi alizoimba mwenyewe diamond, mfano Eneka ina views 12M, kitorondo 18M, the One 19M, jibebe 16 tena hii wameimba diamond, mboso, laValava,
Nyimbo alizoimba na wengine
Sikomi nayo ina views milion ngapi?Ni ya diamond ila Mr fleva ndiyo kaipaisha ile nyimboo
Hii ni ukweli mkuu nyimbo nyingi alizoimba mwenyewe diamond, mfano Eneka ina views 12M, kitorondo 18M, the One 19M, jibebe 16 tena hii wameimba diamond, mboso, laValava,
Nyimbo alizoimba na wengine
Sikomi nyingine?Sikomi nayo ina views milion ngapi?
Alafu hamna mtu aliyekatazwa kufanya Collabo,ila Diamond ana jicho la kuselect mtu wa kufanya nae Collabo ili akuze mziki wake na hata wasanii wa nje wanatamani kufanya Collabo na Mondi mfano tu Yope Innos'B,Watora mari Jah Preyah,Akothee .Yope OG haijavuka 20m ila rmx ina 61m.
Jiulize kuna watu washafanya collabo na akina Yemi Alade,Sarkodie,Sean Kingstone,MI lakini hawapati views kama za Mondi na kuna wasanii wengine(AY,Innos'B,Harmonize,Rayvanny,Akothee,Jah Preyah) tangu waanze mziki wao nyimbo zao zenye viewers wengi ni zile walizo mshirikisha Mondi hawa nao unasemaje?
Mziki ni biashara na biashara lazima utafute masoko mapya kila siku,leo Diamond ukizitoa nchi za kiarabu ktk bara la Africa kishapiga show zaidi ya 95% za inchi zote ,kabakisha chache.So ukichunguza hizo collabo ndizo zinazo mpa hayo masoko.
Hamna msanii aliyekatazwa kufanya collabo,ila unapofanya collabo unatakiwa uwe na jicho la kumchagua msanii,sio unafanya ili mradi mwisho wa siku inakula kwako.
Kwa hiyo unataka nyingine na sio SIKOMI?Kwani Sikomi kaimba nani?Nitampata wapi na Nasema nawe kaimba na nani?Sikomi nyingine?
Kwa hiyo unataka nyingine na sio SIKOMI?Kwani Sikomi kaimba nani?Nitampata wapi na Nasema nawe kaimba na nani?
Nasema nawe kaimba na hadija kopaSikomi nyingine?