Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
ccm washamununua,Tunasikia habari mtaani kwamba Harmonize na menejimenti ya WCB Wasafi haziivi kwa sasa. Lisemwalo lipo na sisi tuliopembeni tukiunganisha matukio tunaona kabisa kuna kitu hakipo sawa japo wenyewe wanakanusha.
Anyways sio dhambi kabisa Konde kuwa na maisha mapya nje ya Wasafi maana ndio kukua huko.
Ila kabla hajatoka Wasafi tunaomba athibitishe kitu kimoja kwa mashabiki. Afanye hitsong bila ya kumshirikisha Diamond.
Sote tunajua na wataalam wa muziki wanajua Harmonize mpaka sasa ana hitsongs mbili tu kwenye maisha yake ya muziki na zote yupo na Diamond, nyimbo ya "Bado" na "Kwangwaru" zaidi ya hapo amewai kuwa na nyimbo nzuri ila hazikuwa hitsongs.
Harmonize prove us wrong..bila hivyo nje ya WCB utakuwa kama Mavoko tu.