Harmonize msani mwenye bahati sana

Yap natumaini Diamond kasoma maoni yako na atayafanyia kazi.
 
Nimeikumbuka DAZ NUNDAZ
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani Harmonize anabaniwa Wasafi?!

NI matumaini yangu Konde Boy hatawasikiliza watu wanaomtia ujinga!! Rich Mavoko mlianza hivi hivi, na kadri siku zinavyoenda, Mavoko anazidi kutoweka! Muziki ni zaidi ya ujuavyo! It doesn't matter unajua kuimba kiasi gani; kwahiyo msianze kumtia ujinga hili kesho na kesho kutwa akianza kutumia drugs murudi kuwasemanga WCB!
 
Sio mkuuu mi mwenyew nawa mind sema tu uongozi wa wcb wanampelekesha vibaya uyu dogo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unaamini kabisa leo hii tukitaja wana-WCB (excluding Diamond) waliotoa ngoma nyingi na kufanya collabo nyingi; Harmonize atakuwa ndie wa mwisho?! Hivi kuna anayemfikia Haromize pale WCB kwa kutoa ngoma nyingi na collabo nyingi?! Jana tu hapa kaachia 3 kwa mpigo pamoja na nyingine ambayo Diamond yupo!!

Acha uchonganishi bhana!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…