Harmonize na Diamond kuna dalili hawapo closer kama zamani kuna tatizo

Harmonize na Diamond kuna dalili hawapo closer kama zamani kuna tatizo

WAFUKUA MAKABURI KATIKA UBORA WAO....YAFUKUENI YAFUKUENI.....
NJOONI HUKU MJIONEE YANAFUKULIWA
 
Hakuna mtu asiyejua kuwa Harmonize ndio alikuwa kipenzi cha Diamond platnumz, kila nyimbo walishirikishana na Diamond alikuwa akimpiga taff sana

Lakini kipindi cha hivi karibuni watu wakaribu pale wcb inasemekana kuwa kijana ameanza kumkera Boss wake, inasemekana kuwa Hamo sasa amekuwa mtu wa vilevi kupindukia kitu ambacho kimekuwa kikimuuzi Diamond platnumz

Pia inasemekana kijana kwa sasa hakamatiki pale WCB amekuwa na dharau baada ya kutoboa kimziki, kwa sasa hata Diamond hasapoti tena kazi za Harmo kwenye ukurasa wake kama zamani, Hata nyimbo mpya ya Tetema Harmonize hajaipost kabisa kwenye page yake ili kuonyesha ushirikiano

Ikumbukwe hata Rich mavoko alianza hivi hivi kupotezeana na wenzake, kitu ambacho watu walihisi ni kiki ya wimbo mpya lakini mwishowe Rich Mavoko akajitoa WCB
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wewe una familia? Umeiandaliaje familia yako "maisha mazuri" iwapo utakufa ghafla leo? Achana na mambo ya umbea mkuu, angalia watoto wako wataishije siku "UKIZIMIKA GHAFLA". Sawa sawa?
 
Eeeh,hata hivyo muzikï wa makundi haupo duniani,ni hao tu wcb wanajikunyata kukingana baridi

Nawashangaa mnao weweseka na Wcb kutengaa na Hamo...Kama Mapacha wa Nigeria walitengana itakuwa hawa Mmakonde na mmanyema?
 
Back
Top Bottom