Harmonize na Diamond kuna dalili hawapo closer kama zamani kuna tatizo

WAFUKUA MAKABURI KATIKA UBORA WAO....YAFUKUENI YAFUKUENI.....
NJOONI HUKU MJIONEE YANAFUKULIWA
 
Hivi wewe una familia? Umeiandaliaje familia yako "maisha mazuri" iwapo utakufa ghafla leo? Achana na mambo ya umbea mkuu, angalia watoto wako wataishije siku "UKIZIMIKA GHAFLA". Sawa sawa?
 
Eeeh,hata hivyo muzikï wa makundi haupo duniani,ni hao tu wcb wanajikunyata kukingana baridi

Nawashangaa mnao weweseka na Wcb kutengaa na Hamo...Kama Mapacha wa Nigeria walitengana itakuwa hawa Mmakonde na mmanyema?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…