Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,391
- 21,045
Itapigwa walishamizana kitambo mbona komando hana matatizo nao.Hiyo ngoma aliyoshirikina na jide mawingu wataipiga kweli...
Hawatagi kusikia sauti ya jide kwenye vyombo vyao au bifu liliondoka na jasiri Ruge
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] Sio hiyo uleuzito unazani ataweza cheza nalo huku akiwa amelivaa.
Kama kile kipengele alichotajwa Diamond kwenye UNO huwa wanakifanyia mambo flani hivi hakisikiki na ni sekunde kadhaa sasa sijui wimbo itakuajeHiyo ngoma aliyoshirikina na jide mawingu wataipiga kweli...
Hawatagi kusikia sauti ya jide kwenye vyombo vyao au bifu liliondoka na jasiri Ruge
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kile kipengele alichotajwa Diamond kwenye UNO huwa wanakifanyia mambo flani hivi hakisikiki na ni sekunde kadhaa sasa sijui wimbo itakuaje
Radio ambayo imejaa machoko kufanya fitna ni kawaida tu kwaoKama kile kipengele alichotajwa Diamond kwenye UNO huwa wanakifanyia mambo flani hivi hakisikiki na ni sekunde kadhaa sasa sijui wimbo itakuaje
Hawatashindwa kupiga ngoma nusu hawa mabedui wa wasanii wa bongoKama kile kipengele alichotajwa Diamond kwenye UNO huwa wanakifanyia mambo flani hivi hakisikiki na ni sekunde kadhaa sasa sijui wimbo itakuaje
Itapigwa walishamizana kitambo mbona komando hana matatizo nao.
Jamaa ndio wanasababisha mabifu kwa kuwashindanisha wasanii kupitia timu za mashabiki, unakuta issue inakuwa ndogo lakini wao wanajifanya kama wanamsapoti ila dogo na Lady Jaydee wanahitaji nishani maana kitambo sana wamechuniwa lakini mambo yao yanakwenda
Wee wee weuweeeeeeeePiga kelele kwa jide akee[emoji23][emoji23]
Sent from my iPhone using JamiiForums