Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Safari hii tutapata connection ya Kajala,kaa kwa kutulia.Kutupia mapicha mabovu hadharani wengi wanasema ni usanii, lakini si sawa ukiweka maanani kuna watoto wao wanaoona kila kitu.
Tatizo mnasahau kwamba "Mmakonde kakutana na Msukuma" unategemea nini?Huu siyo ushamba tu peke yake,ziada pia ni uzwazwa wa kiwango cha mavi na mikojo
Rais wa Ukraine na makamu wakeNdio kina nan hao watu, manake nasikia Kondeboy Mara Kajala?
MamdogoKwa bahati Harmonise akazaa na Kajala, huyo atakaezaliwa atakua anamuitaje mtoto mkubwa wa Kajala?
Dada au mama mdogo?
Tafuta hela utamuelewaMungu nisamehe sijawahi muelewa huyu dogo yaan sifa ndio zinanikera zaid
Tafuta hela dogoPesa ambazo dogo anaharbu angefanya
Investment ya maana mahali
Itakuwa PaullahNimewaza tu mpiga picha wa hii picha ni nani maana wapo nusu uchi hapo[emoji4]
Wazee wa kazi wanasema kitambo sana bibie kimeo.Wamepima?
Hata mwijaku pia inawezekana,Itakuwa Paullah