Harmonize na Konde Gang watatupa

Harmonize na Konde Gang watatupa

Hussein Massanza

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
1,016
Reaction score
2,195
Watu wa Soka,

Kesho tarehe 4/8/2022 ni siku muhimu sana kwa timu yetu Singida Big Stars FC.

Supastaa Harmonize "Konde Boy" ndiye msanii atakaetumbuiza kwenye tamasha letu la "Singida BIG DAY" kesho ALHAMISI ndani ya Uwanja wa LITI (zamani Namfua) hapa Singida.

Siku hili ni maalumu kwa ajili ya kutambulisha kikosi kizima cha timu yetu ya Singida Big Stars sambamba na benchi zima la ufundi huku tukio zima kikichagizwa na mchezo wa kirafiki dhidi ya Zanaco ya Zambia ambao tayari wameshawasili nchini.

KOH KOH KOH! YAW YAW!
 
Afisa habari jibu maswali ya mashabiki basi, mechi itarushwa televisheni gani?
Hawa bado ni watoto wadogo,hata milard ayo umwambia akachukue picha tu hawezi kwenda.
 
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]nakubali sana ila naomba tena mturudishie kotei..chonde chondee
 
Watu wa Soka,

Kesho tarehe 4/8/2022 ni siku muhimu sana kwa timu yetu Singida Big Stars FC.

Supastaa Harmonize "Konde Boy" ndiye msanii atakaetumbuiza kwenye tamasha letu la "Singida BIG DAY" kesho ALHAMISI ndani ya Uwanja wa LITI (zamani Namfua) hapa Singida.

Siku hili ni maalumu kwa ajili ya kutambulisha kikosi kizima cha timu yetu ya Singida Big Stars sambamba na benchi zima la ufundi huku tukio zima kikichagizwa na mchezo wa kirafiki dhidi ya Zanaco ya Zambia ambao tayari wameshawasili nchini.

KOH KOH KOH! YAW YAW!

Mmemleta konde boy tumepigwa
 
Back
Top Bottom